hahahaha!Kumbe wewe ni G mbona umedili ka jina ketu bila kusema ..nimekutafuta wee mpaka nikaanza kucheki post..
PJ yuko wapi ?? najaribu kumcheki lakini iz not richabo
hahahaha!
festledi nitakupa bani weweee!
tupo nae hapa grosari kwa tarimo KIAINA!si unajua mbuzi choma...I have tried reaching him on the fone several times last week hapatikani
Preta si utuweke wazi wa kwetu bro kaenda kutangaza nia wapi???
I have tried reaching him on the fone several times last week hapatikani
Preta si utuweke wazi wa kwetu bro kaenda kutangaza nia wapi???
tupo nae hapa grosari kwa tarimo KIAINA!si unajua mbuzi choma...
we ingilia kwa remmy hapa ukiwa unatoka kona baa,KATA KUSHOTO(kabla hujavuka pale MACHOZI-FAST FOOD sijui nini!lakini kwenye jiko lile
unakunywa whiscky gani?
wakwetu na wadau wote mnaomuulizia PJ, ni kweli PJ yupo likizo na jana jioni nimeongea nae, nilimpata kwa bahati maana alikuwa sehemu yenye network, nilimpa salamu zenu na alinijulisha baada ya wiki kama mbili zimebaki amalize likizo yake, hivyo PJ is health and kicking, anawamiss sana, so wadau tuvute subira PJ will be back soon
thanks askofu... i hope he will come out of his hiding tomb alive and unscathed!!
I THINK ITS GOOD SASA TUANZE KUMTAFUTA MBU NA WOS.... BILA KUSAHAU SUSUVIRI NA MTAALAM MWENYEWE BAK, SIKU HIZI NAONA ANANUSA NA KUSEPA
PRETA MZIMA LAKINI? MAANA LEO NIMEPATA NYAMA SPICE PALE CITY, WALLAH MURUA MANTASHAHU...
wakwetu na wadau wote mnaomuulizia PJ, ni kweli PJ yupo likizo na jana jioni nimeongea nae, nilimpata kwa bahati maana alikuwa sehemu yenye network, nilimpa salamu zenu na alinijulisha baada ya wiki kama mbili zimebaki amalize likizo yake, hivyo PJ is health and kicking, anawamiss sana, so wadau tuvute subira PJ will be back soon
infidelity ndo yenyewe bana!.....sio hivyo geoff, i meant to say cheers!!!
sorry for any confusion, no cheats man!!!
HE... yamekua hayo?? yaani ndoa hata siku 365 na robo bado mkuu?
acha hizo mazee, karibu hapa freedom ule ngombe choma mazee, kuna timu ya mtu kama laki hivi ndani track moja!!!
hehehehe!PJ... PJ ....WHERE ARE YOU BRODA ..I miss you like crazy
Every minute of every day ....... mbona uko offline Completely:tape:
hehehehe!
aafu wewe mbona unamuulizia sana piijei jamani
jamaa kaoa shauri zako
Teamo acha Visa .wewe nisipokuona 1 week nitakutafuta mpaka Bango pale TBC 1..
na wewe si umeoa tena ndoa yako Brand new
Mie nimeolewa pia ...hahaha tarehe 20 -06 nafanya anivesari ya miaka 20 ya ndoa
wakwetu na wadau wote mnaomuulizia PJ, ni kweli PJ yupo likizo na jana jioni nimeongea nae, nilimpata kwa bahati maana alikuwa sehemu yenye network, nilimpa salamu zenu na alinijulisha baada ya wiki kama mbili zimebaki amalize likizo yake, hivyo PJ is health and kicking, anawamiss sana, so wadau tuvute subira PJ will be back soon
wakwetu na wadau wote mnaomuulizia PJ, ni kweli PJ yupo likizo na jana jioni nimeongea nae, nilimpata kwa bahati maana alikuwa sehemu yenye network, nilimpa salamu zenu na alinijulisha baada ya wiki kama mbili zimebaki amalize likizo yake, hivyo PJ is health and kicking, anawamiss sana, so wadau tuvute subira PJ will be back soon
mmh hapo nahisi ndo utakuwa umefikisha miaka 20 tangu kuzaliwa matron lol!!!