ogm12000
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 304
- 86
Habari zenu wana JF
Ebwana nilikuwa mada moja muhimu kuhusu Universities za Tanzania. Wanafunzi wengi wamekuwa wakicopy ( plagiarism) kutoka kwenye vitabu au article mbalimbali wakati wanapokuwa wakiandaa homework zao, final projects na kadhalika. Ili kuepukana na tatizo hili vyuo vingi vya ulaya, asia vimekuwa vikitumia software inayoitwa plagiarism detector ili kuwanasa wanao copy katika vitabu au internet source yeyote.
Kama bado system hii haijaanza kutumika Tanzania nilikuwa nashauri wangeianzisha ilikupungua au kuondoka kabisa ma graduate fake. Gharama ya hii software sio kubwa na vyuo vyote vinaweza ku-afford. Kwa wale wanafunzi wenzangu mnao andaa final report zenu mnaweza kucheki report zenu kupitia hii webpage The Plagiarism Checker.
NB: Hii site inacheck internet sources tu kama umecopy kwenye vitabu haiwezi kuona .
Ebwana nilikuwa mada moja muhimu kuhusu Universities za Tanzania. Wanafunzi wengi wamekuwa wakicopy ( plagiarism) kutoka kwenye vitabu au article mbalimbali wakati wanapokuwa wakiandaa homework zao, final projects na kadhalika. Ili kuepukana na tatizo hili vyuo vingi vya ulaya, asia vimekuwa vikitumia software inayoitwa plagiarism detector ili kuwanasa wanao copy katika vitabu au internet source yeyote.
Kama bado system hii haijaanza kutumika Tanzania nilikuwa nashauri wangeianzisha ilikupungua au kuondoka kabisa ma graduate fake. Gharama ya hii software sio kubwa na vyuo vyote vinaweza ku-afford. Kwa wale wanafunzi wenzangu mnao andaa final report zenu mnaweza kucheki report zenu kupitia hii webpage The Plagiarism Checker.
NB: Hii site inacheck internet sources tu kama umecopy kwenye vitabu haiwezi kuona .