Plan B

mkanyikivega

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2016
Posts
215
Reaction score
224
Wanaume wa Dar mkiitwa kwa RC Makonda kuhusu kuterekeza watoto, tumia hizo points utashinda tu kesi..

Land alienation -matajiri walinunua ardhi tukakimbilia dar, baada ya kukosa ardhi ya kulima.

Forced Labour -tulifanyishwa kazi ngumu kiasi kwamba tukakosa wanawake wa permanent, tukazaa na tukahamishwa eneo lingine la kazi.

Low wages -mshahara ilikuwa midogo hii ilisababisha kutotimiza majukumu yetu ya kuwalea watoto wetu.

Poor technology-hii imesababisha kukosa mawasiliano kwa wakati kiasi kwamba tukitaka kuwasiliana na watoto hadi tupande juu ya Miti.

Poor infrastructure - ilisababisha tupate tenda ya kujenga barabara, na kila tulipopita tuliacha Mtoto.

Lack of education- hii kwa upande wa kina Dada imewasabashia kutokujua kalenda zao vizuri, hii imesababisha mimba kutunga bila wao kujua.

Unemployment-kutokana na kuwa sina kazi ya kueleweka hii imesababisha kutotimiza majukumu yangu.

Taxation-kodi ya bidhaa imekuwa kubwa hii imepelekea kufunga biashara zetu ambazo tulikuwa tunapata chochote.

Yaani hizi points huwa hazikataagi swali ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…