Heri lee
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 981
- 537
Wadau mambo yanakuwa vipi watu wa nguvu baada Mwaka kila mtu naona anapambana na hali yake
Bila kupoteza wakati
Tunasikia juu ya sayari isiyojulikana inayotoka anga za mbali sana kuja kuigonga dunia kwa speed ya ajabu(light speed)
Iliyopewa jina LA nibiru au planet x inayowaka moto japo wana anga wa NASA Mwaka 1987, walisema sayari hiyo itafika duniani Mwaka 2019 au 2018 huku tukio la kupatwa kwa jua Mwaka 2016 na tsunami ya 2005 ikiwa linaashiria kuwa Nibiru imekaria kuigonga dunia
Pia NASA walisema miongoni wa viashiria kuwa Nibiru itafika duniani ni
Volcano
Earthquakes
Joto Kali
Tsunami
Na hii inasabishwa na mionzi mikali ilio ndani ya sayari hii
Japo hata sasa wataalamu wamekaa kimya kuhusiana ujio wa planet x ambayo kama itaigonga dunia hakitasalia hata chembe "haradali"
Ngoja tuzidi kungoja taarifa zaidi
We will all die
Bila kupoteza wakati
Tunasikia juu ya sayari isiyojulikana inayotoka anga za mbali sana kuja kuigonga dunia kwa speed ya ajabu(light speed)
Iliyopewa jina LA nibiru au planet x inayowaka moto japo wana anga wa NASA Mwaka 1987, walisema sayari hiyo itafika duniani Mwaka 2019 au 2018 huku tukio la kupatwa kwa jua Mwaka 2016 na tsunami ya 2005 ikiwa linaashiria kuwa Nibiru imekaria kuigonga dunia
Pia NASA walisema miongoni wa viashiria kuwa Nibiru itafika duniani ni
Volcano
Earthquakes
Joto Kali
Tsunami
Na hii inasabishwa na mionzi mikali ilio ndani ya sayari hii
Japo hata sasa wataalamu wamekaa kimya kuhusiana ujio wa planet x ambayo kama itaigonga dunia hakitasalia hata chembe "haradali"
Ngoja tuzidi kungoja taarifa zaidi
We will all die