Duh, kwahiyo tumekosaMajamaa hawapigi simu mara mbili 🤣
Usikate Tamaa, japokuwa haha mimi nimetuma zaidi ya mara tatuNdo maana mimi nawaamini utumishi, hawa wa kutuma barua posta ni mwendo wa rushwa tu! Mtu una vigezo vyote lakini huitwi shida ni nini sasa
UlichaguliwaUsikate Tamaa, japokuwa haha mimi nimetuma zaidi ya mara tatu
Bado. Salary 2M GROSS.Naomba kuuliza ivi waliofanya interview washaitwa kazini
umeshafanya usahili?Naomba kujua kuhusu hili wazoefu wa hapo.Ivi huwa wanaita baada ya mda gani, Baada ya kufanya interview.
wakiita kazini au wakiita interview?Naomba siku wakiita tupeane taarifa.
na wewe ulifanya?Ndugu zangu hawajqwaita tu bado waliofanya interview
Nicheki kwa whatssap kwa hii namba 0763786569.kama na wewe ulifanya njoo pm tupeane mawil matatu