mkuu tofauti inakuja kutokana na events unazoangalia,kweli plasma ni nzuri kwenye sports event lakini wengine hatununui tv for sports events peke yake.
in judging TV ability we actually use fast action movements to illustrate its refreshing ability.
mfano gaming computers are undoubtedly one of the fastest and most efficient,most powerfull computers available in the industry.
mtu yeyote anayetaka kununua a powerfull computer to run non gaming applications but still needs the power would be advised to buy a gaming laptop.Please don't say a macbook is a gaming laptop!!hapo juu najaribu kuonesha kitu kinaitwa benchmark.
so in HDTV benchmark ya best performing TV are the ones that can handle Sports,fast moving action well.Kama hukubaliani na hili basi no need ya kubishana hapa.we are not on the same page at all.
nimeshasema huko nyuma,kama unahitaji the best and you can afford it why buy the second class?
kuangalia vigezo vya mda wa kudumu pia ni muhimu mkuu.
mh si umeshaambiwa kuwa masaa 60,000 ni miaka kumi ya matumizi ya masaa 24 kwa kila siku?
si umeshaambiwa kuwa kwa matumizi ya kawaida y afamilia zetu ya kutazama TV kwa 10 hours hiyo TV itakaa miaka 20?
unaijua TV ya miaka 20 iliyopita ikoje?ni ile iliyonunuliwa 1989!who watch/use this sh**t now.it's too old in technology,so it's safe to say 60,000 hours should not be a reason to not buy a TV!!it's like asking a guy to not buy a car because it will only last 40 years!that's a joke..,of course a salesman will tell you such bullshit..,but i wont because i am trying to help.
kwanini lcd ni more expensive kushinda plasma?
kwa sababu LCD yenye quality ya Plasma inagharama kubwa kuliko plasma..,
kila mtaalam wa AV anashauri TV ya 42" and above at least think plasma.sasa katika context hiyo unamaanisha kuwa tunalinganisha >42" plasma and >42" LCD.
sasa ndio hapo sasa ujue kuwa >42" LCD is just not worth a buy..,better buy LED!!which is an enhanced LCD technology..,LCD could not deliver same quality as plasma so they created an enhanced version of it called LED.kama hujui hili,know that now.how much will this cost you!well you know them malls..,go check yourself.
so i can
BOLDY SAY A GOOD LCD WILL COST MORE THAN A PLASMA.
na kama huamini taja brand unayo hipa heshima nikuletee bei ya plasma na lcd huone hipi ni expensive?
unamaanisha nini hapa?brand si nilishataja huko nyuma?just scroll back bana
nani aliokuambia lcd below $2000 is not worth buying? taja brand hapo ndio tunaweza kujudge quality.
becuase i am an audiophile,a videophile,,i used to design chips/processors for a living,where we had to do loads of simulations to be able to tell how efficient/powerfull can it work in real life,and i can honestly tell you..,>42" LCD/LED at the current panel prices is just not worth buying..,from the engineering point of view,of course tunatofautiana kwenye requirements za quality.kuna watu humu naona wanasifia Toyota chaser qx110 kuwa ni gari bomba imara(technology ya 1980's!!phew..,nachoka kabisa.)..,kuna watu wanakaa kubishana nokia/blackberry line 2 ni feki au original,watu wa samle hii ni kazi kuwaambia maneno hayo juu wakakuelewa.kama na wewe ni mmoja wao samahani.read from here..,(you can get a perfectly normal good tv for less than $1,000)..,
you probably wont notice the difference if i put an LCD panel beside the plasma one..,
Samsung 42'' Class 720p 600Hz Plasma HDTV, PN42B400 $628.00
- 720p resolution
- 2,000,000:1 dynamic contrast ratio
- .001-ms. response time
- Two HDMI inputs
Model#: PN42B400P3DXZA
that is a really cheap plasma..,phew..,it must be out of stock by the time you get there!!run and get it please..,don't forget to check where the catch was thou!
hapa arguement yako itakuwa kwenye resolution 720p ambayo sio nzuri unatakiwa uchukue 1080p resolution.
Nashukuru kwa kunisaidia hapa quality does not come cheap.hiyo 1080p is just a start the list goes on..,
once i saw a TV set sold for 2.5M in dar,it was really a very bad TV,very mediocre picture.i asked the salesman why would people buy that TV!he said people have money in Dar.,and he sells many of those..,
disappointed and angry i left there wondering of we can spend $2000 on a "bad" TV set why not spend it to buy something worthy?
and that is what i was trying to help for..,helping those guys spending >2M to get good TV's