Hiyo ni wewe sasa! My DG ilikuwa 2014!Mbona my DG.. nimenunua 2016!
Mimi nina maoni tofauti kidogo naona gari hazinunuliwi namna hiyo!!
Namba D tangu mwanzoni mwa 2015 mpaka leo bado ipo jamani!?? Bado tunasema watu wananunua magari kwa wingi! ?
Hebu wenye nazo muongeze Spid ya kununua magari tumtokomeze huyu Namba D ameshaanza kuwa Mugabe sasa!!!
Magari ni mengi sana labda na mikopo ni mingi na bei ni ndogo
Pia magari ya zamani yalibadilishwa namba na kuangukia no A mengine B.....so ni kawaida kukuta lory au trecta la 1990 likiwa namba A au B.Mkuu aidha Ww ni mgeni kwenye magari au huna utafiti,namba A na B zilikimbia haraka kutokana na pikipiki na Bajaji zilikuwa zinatumia usajili mmoja na gari.
Kwamba namba D imekimbia sio kweli,ina zaidi ya miaka 7 ipo tu
Hesabu kuanzia DAA mpaka DDF ni magari mangapi?Unazingua ww mzee me kasajil gari 2016 october ilikuw DDF
Population ya watu mil.55 imechukua miaka 10 kununua magari 500,000 ya biashara na ya kutembelea kwa ujumla wake.
Wastani wa magari 50,000 kwa mwaka.
Wastani wa kila watu 1000 mmoja tu ndiye mwenye uwezo wa kununua gari kwa mwaka.
Mengi yakiwa ni ya mkopo.
Hiyo ni wewe sasa! My DG ilikuwa 2014!
Sikuwahi kuimiliki!Na CUT ilikua ni lini?