Play Cool to get and not hard to get.........

""Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence.""

hicho kipande kimenigusa...kwa waliopitia kashikashi kama mie cku hizi hicho ni kitu cha kawaida kabisaa, tumewachia wanaoanza game...haaaa.

MJ1 hapo kwenye condom...napenda kusema "HAPANA/HAITAWEZEKANA"...yaani kuhalalisha kabisa?...kama anafanya an ajilinde! kumbuka umetokea huko MJ1, sio rahic kihivyo.
 
FL1 hujambo....
Hawezi kuwa mpumbavu hadi atumia kondom ulizomweka....believe me utazikuta ulivyozoweka...sihu ni ujumbe aupatao...

na wengine cc tukijaribu kufanya hivyo ndio itakula kwetu, japo cwez hata kwa mbali kufukiria kufanya hivyo, nitahojiwa mpaka kiamaa...."y umeniwekea/hivi unanionaje/ mie najiheshimu na naheshimu familia yangu bwana...etc" yaani matata matupu...wkend yako iliendaje?
 
FL1 hujambo....
Hawezi kuwa mpumbavu hadi atumia kondom ulizomweka....believe me utazikuta ulivyozoweka...sihu ni ujumbe aupatao...

Sijambo shikamoo St.RR or rr

swala ni kwamba najua hawezi kuzitumia zaidi atatumia mbinu mbadala kununua zingine na kuacha zile kama zilivyo.
Na moyoni atakuwa anajua hata wife anajua sisi wanaume hatuwezi kuvumilia ngoja ni play safe .
lakini swala zima ni kuwa waaminifu ..unaweza kumpa maneno matamu na ya upendo wakati anaondoka ..yale maneno yakaacha maandiko moyoni mwake badale ya kumuwekea ze condoms ..ila tuko tofauti
 
Cousin nashukuru sana kwa kurejea swali ambalo na mimi niliuliza kama wanaume tuko tayari kuhisi na kukaa kimya ingawa naona ni ishu ngumu, by the way vespa umeishazileta lol!!!
Hommie hebu msome mwanajamii hapa chini Jibu unapata
 

Marhaba FL1....
Hebu ongelea wakati unapokua na hakika mali zako zinaliwa.....jinsi ya kumpa ujumbe kwamba unajua....na ndo anachozungumzia MJ1 (i hope)....
 
Hommie hebu msome mwanajamii hapa chini Jibu unapata

Orait hommie nimekusoma

I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!!
 


na ukute wala sio mtumiaji wa hayo makitu "zinamletea fungus/wengine zinawabana/allergy"...ili mradi watoe sababu...zitakaa kwenye huo mkoba miaka na wewe ukiziona unafarajika....haaa bora na sie wengine tusio na imani kabisa.
 
Marhaba FL1....
Hebu ongelea wakati unapokua na hakika mali zako zinaliwa.....jinsi ya kumpa ujumbe kwamba unajua....na ndo anachozungumzia MJ1 (i hope)....

ooh my god St RR kama una pendo la kweli moyoni kwa mwenza wako kuwa na uhakika mali yako inaibiwa ni tatizo ..
Ngoja kwanza hangover ipungue kichwani ..then hekima kama ya za Mfalme Suleiman zitafatia
 

Unamrahisishia mambo...unamwekea sehemu ambayo 'sio rahisi kuonekana'.....:teeth:
 
OK OK!
kwa hiyo mwanajamiione unataka kucemaje sasa...............
maanake sielewi elewi na hizi bia za jamhuri secondary ndo kwanza hazijaisha

mnajadiligi nini eti wakuu?
 
If you can't defeat them.................
 
OK OK!
kwa hiyo mwanajamiione unataka kucemaje sasa...............
maanake sielewi elewi na hizi bia za jamhuri secondary ndo kwanza hazijaisha

mnajadiligi nini eti wakuu?

Habari yako chalii....
 
MJ1 ni ushauri mzuri kweli my dear ila sasa namna yakuzuia hasira hapo ndo shuhuli inabidi uwe mvumilivu kwakweli, asilimia kubwa ya wanawake huwa si wavumilivu kwa jambo kama mume kuchepuka nje ya ndoa ila ukiweza kufanya hayo mbona jamaa atatulia mwenyewe bila hata kuambiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…