FL1 hujambo....
Hawezi kuwa mpumbavu hadi atumia kondom ulizomweka....believe me utazikuta ulivyozoweka...sihu ni ujumbe aupatao...
FL1 hujambo....
Hawezi kuwa mpumbavu hadi atumia kondom ulizomweka....believe me utazikuta ulivyozoweka...sihu ni ujumbe aupatao...
Hommie hebu msome mwanajamii hapa chini Jibu unapataCousin nashukuru sana kwa kurejea swali ambalo na mimi niliuliza kama wanaume tuko tayari kuhisi na kukaa kimya ingawa naona ni ishu ngumu, by the way vespa umeishazileta lol!!!
1. kwa wanawake walio na ndoa/ stable relationship- dont be a nagging woman
Tunaelewa kuwa (according to Babu Asprin) wanaume hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja (thats you) so expect the unexpected. Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: T
Have a nice weekend
Sijambo shikamoo St.RR or rr
swala ni kwamba najua hawezi kuzitumia zaidi atatumia mbinu mbadala kununua zingine na kuacha zile kama zilivyo.
Na moyoni atakuwa anajua hata wife anajua sisi wanaume hatuwezi kuvumilia ngoja ni play safe .
lakini swala zima ni kuwa waaminifu ..unaweza kumpa maneno matamu na ya upendo wakati anaondoka ..yale maneno yakaacha maandiko moyoni mwake badale ya kumuwekea ze condoms ..ila tuko tofauti
Hommie hebu msome mwanajamii hapa chini Jibu unapata
Sijambo shikamoo St.RR or rr
swala ni kwamba najua hawezi kuzitumia zaidi atatumia mbinu mbadala kununua zingine na kuacha zile kama zilivyo.
Na moyoni atakuwa anajua hata wife anajua sisi wanaume hatuwezi kuvumilia ngoja ni play safe .
lakini swala zima ni kuwa waaminifu ..unaweza kumpa maneno matamu na ya upendo wakati anaondoka ..yale maneno yakaacha maandiko moyoni mwake badale ya kumuwekea ze condoms ..ila tuko tofauti
Marhaba FL1....
Hebu ongelea wakati unapokua na hakika mali zako zinaliwa.....jinsi ya kumpa ujumbe kwamba unajua....na ndo anachozungumzia MJ1 (i hope)....
na wengine cc tukijaribu kufanya hivyo ndio itakula kwetu, japo cwez hata kwa mbali kufukiria kufanya hivyo, nitahojiwa mpaka kiamaa...."y umeniwekea/hivi unanionaje/ mie najiheshimu na naheshimu familia yangu bwana...etc" yaani matata matupu...wkend yako iliendaje?
Unamrahisishia mambo...unamwekea sehemu ambayo 'sio rahisi kuonekana'.....:teeth:
OK OK!
kwa hiyo mwanajamiione unataka kucemaje sasa...............
maanake sielewi elewi na hizi bia za jamhuri secondary ndo kwanza hazijaisha
mnajadiligi nini eti wakuu?
MJ1 ni ushauri mzuri kweli my dear ila sasa namna yakuzuia hasira hapo ndo shuhuli inabidi uwe mvumilivu kwakweli, asilimia kubwa ya wanawake huwa si wavumilivu kwa jambo kama mume kuchepuka nje ya ndoa ila ukiweza kufanya hayo mbona jamaa atatulia mwenyewe bila hata kuambiwa.Wapendwa ndugu, jamaa na marafiki......natumaini weekend kwenu ilikuwa njema kama kwangu. tumshukuru MUNGU kwa hili.
Wakati nikiwa nimekaa kwangu nikiimalizia weekend hii ya mwisho wa mwezi wa november, 2010 nimejikuta nawaza mahusiano na vituko vyake. Sijui kama ni sahihi but inaweza kusaidia kujenga mahusiano ya kudumu kwa yule umpendaye......... nawaza.
1. kwa wanawake walio na ndoa/ stable relationship- dont be a nagging woman
Tunaelewa kuwa (according to Babu Asprin) wanaume hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja (thats you) so expect the unexpected. Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence. Relax
Dont ask him a direct question- usimwulize unatoka na nani? why have you changed, ushatoka nje ya ndoa e.t.c. maswali ya hivi yanamfanya aamini kuwa unafanya GUESS work huna unalolijua hence giving him more chance na nguvu ya kuendelea na akifanyacho. ......it doesnt matter whether its true or not we mwonyeshe kuwa unajua anachokifanya (hata kama hafanyi kitu - which is not obvious- ni mtu wako akibadilika utajua tu) mwambie straight kuwa you know what he is doing all you need from him ni USALAMA- Atake care in what ever he is doing.....tena ikiwezekana jenga tabia ya kumkinga (mwekee condoms ndani ya briefcase kila akisafiri au kwenye mfuko wa shati kila akienda kazini asubuhi). The logic behind is
1. Kama anafanya, basi atabaki anajiuliza umejuaje and to what extent do you know.
2. Kama hafanyi basi atajua unamjali na uko makini.
ii. Love him more with all your heart but remember to take your brain with you.
THIS IS WHAT I BELIEVE WORKS FOR WOMEN ( NOT NECESSARILY SHOULD IT BE TRUE)
Sijui kwa wanaume..........should we, women be treated the same??
Have a nice weekend
bado nitakuwa cjamsaidia lolote, bora kutokuweka....
[/COLOR]
:lol::lol::lol::lol::tea::tea: mfikishie salamu zangu Kanyagio na Dr
haya mambo ya private vipi tena? name calling bana sio fresh