Lizzy mbona unauliza maswali kwa mlengo hasi sana........dah.
Tatizo wengi wenu mnasema mnataka ukweli wakati ukweli ni kwamba hamtaki kusikia ukweli!!Quality ambayo huwa ni very rare kuikuta kwa wanawake, KUWA WAKWELI! Ooooh, kama unaelewa ninachomanisha, basi hiyo ndo wanaume karibu wote tunaitafuta kwa mwanamke lakini nakuhakikishia tulio wengi hatujaipata.
Ukweli na uwazi saa zote, ni tatizo kubwa kwa mwanamke! Sijawahi kumuona wa hivyo na nilishakata tamaa kutafuta! Huwa mnasema wanaume ni cheater? Wanawake ni both cheaters and liars!!! Ukweli na uwazi hakuna. Kwa aliyekwishakaa na mwanamke anaelewa hili!
Tatizo wengi wenu mnasema mnataka ukweli wakati ukweli ni kwamba hamtaki kusikia ukweli!!
Kama huu niliousema nna uhakika hautaupenda!
mimi napenda ukweli.......mbona
Una uhakika???!Basi kwanzia leo usiniulize tena kama wewe ni handsome...!lolz
Hhahahhaa...then dont ask me that either..or whether you are better than my Ex!he he heee
hilo mbona easy....
unajua ukweli upi unauma????
when i asked you.
umeridhika???after nanihino.....
suppose uwe hauku feel kabisa....lol
Hhahahhaa...then don‘t ask me that either..or whether you are better than my Ex!
Hahahahah...that too!!See....ukweli hamuwezi kuubeba kwahiyo inabidi tuchambue yapi tuwaambie na yapi tumezee!huu huuuu
thats very cruel kwa kweli.....
suppose uniambie..
i dont feel anything...ukimaliza niambie lol
Hahahahah...that too!!See....ukweli hamuwezi kuubeba kwahiyo inabidi tuchambue yapi tuwaambie na yapi tumezee!
both ways..
nikikuambia hiyo nguo haikupendezi
au umetoka saloon but haujatoka???
au my ex alikuwa soo mnato??
au anayaweza mauno and so an so????
bottom line
ukweli unaoumiza haufai...
bora soft lies....
Kama sijapendeza niambie nianze upya...
Hayo mengine nayo niambie ili nijifunze nikishindwa utafute aliye navyo badala ya kutuhesabisha namba ili upate utakacho!!
umeona hapo?
tayari ushasema mtafute mwingine...
unajua unaweza usiwe hivi wala vile na still mtu akawa
amepagawa na wewe????
love dont ask why......
unaweza kuwa umependeza but i dont like the style...
umeona hapo?
Kama umedata basi hayo ya Ex hayatosumbua akili..ila kama unaimba kila siku Ex wangu alikua hivi Ex wangu alikua vile..mar sijui natamani ungekua na macho kama yake inabidi ukamtafute aisee.
Kuhusu kupendeza ila hujapenda mi sioni ubaya wa kuniambia....hata binafsi unaweza jikuta umependeza kweli na watu wengine wanapenda ila wewe hupendi kwahiyo unasema natafuta kile kitakachotufurahisha wote.
Napenda sana uwazi tena uliopitiliza siwezi kamwe kushindwana na mwanamke muwazi kama mimi nilivyo yaani namaanisha hata kama amegawa jana akisema ukweli nitamsamehe na kutafuta sababu ya kwa nini aligawa utamu wangu kwa mwingine na kama ni udhaifu wangu nirekebishe na kama ni wake nimsaidie lakini hii ya baadhi ya wanawake kujifanya wajuaji na kudharau upeo wa mwanaume wa kugundua mambo huwa inanikera kuliko chochote! Bai ze wei misi yoo MJ1
Makubwa hayaa!
Mimi napenda variety. Yaani napenda wachuchu wa dizaini mbalimbali. Kwa mfano, napenda wanene, napenda vimobitel, napenda Wachaga, napenda Wamburu, napenda wenye nyonyo kubwa kubwa, napenda watundu watundu na walio wakorofi kiasi. Sipendi wapole kupindukia. Sipendi walokole ila pia sipendi wapagani.
Wale wanaopenda kujichubua mimi nina mzio nao. Nywele za kafaulaya naweza kuzivumilia.
Pia napenda wabunifu hususan kwenye maloveee. Napenda wasafi. Sipendi walio walevi kupindukia. Daaah yaani napenda dizaini nyingi mno. Sasa sijui kama nimejibu swali lako au ndo nimeharibu kabisa. Ila nimejibu kwa ukweli.
Mimi napenda machangudoa - do it and forget it - no strings attached!
madogo yana nafuu lol