Please do the nidful

Hehehe orait orait najuta kufanya infii na member! Mbinu zote za kutoroka anazijua dah haijawai tokea hii! Ndo naachiwa sasa! Nguo zililowekwa cm ilifichwa! Kwa kweli Chuda Raha na Makorora twadeka!
 
Hommie utayaweza haya yalio nikuta?

Haki ya nani....kijana umeelekeza shingo usawa wa kisu kwa hiari yako!!!!
Mwanajeshi haogopi vita bana....
'Posted via Mobile'
 
Hommie utayaweza haya yalio nikuta?

Posted via Mobile

Baada ya kuhama kutoka porini naona umehamia guest, ulikuwa unapata experience unapofanya infidelity porini inakuwaje
 
Hehehe orait orait najuta kufanya infii na member! Mbinu zote za kutoroka anazijua dah haijawai tokea hii! Ndo naachiwa sasa! Nguo zililowekwa cm ilifichwa! Kwa kweli Chuda Raha na Makorora twadeka!

Jana generation y amekutafuta kwenye log book za guest zote za TANDALE, KEKO, BUGURUNI, lakini hakuona jina lako
 
Kimey yupo kwangu ngoja nimwambie anatafutwa
Sasa mamito mbona hukunipa taarifa! Kumbe ulivyokua uniaga kwenda bafuni ndo ulikua una post ! Cjui kwa nn ckulitambua hili..
 
Haki ya nani....kijana umeelekeza shingo usawa wa kisu kwa hiari yako!!!!
Mwanajeshi haogopi vita bana....
'Posted via Mobile'
Hehehe vita ni vita mura ila vitanyingine mh!
 
Hehehe vita ni vita mura ila vitanyingine mh!

Nilikuwa nina mpango wa kwenda kumtoa king keko leo ila nimemwambia anipe (.........) nimpe (........) maana invizibo anaweza akadabo jail sentence ikawa 14 days
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…