Please Drive Safely!!!to Jump 2011!!

Kaka kwa picha kama hizi uwe unaweka onyo hapo kwenye kichwa cha habari...
 
Si vizuri kuweka hizi picha hapa au weka onyo kali.
 
please, drive note more that 120Km/hr. take detail vehicle service kabla ujaanza safari na sio chini ya mti/jua kali
 
Watu kwakukosoa jitihada zote hizi bado mnataka na onyo juu??huu ni ujumbe mnataka ujumbe usiwafikie walengwa baada yakuwa zimechakachuliwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…