Habarini za jioni wakubwa, nina mwanangu mdogo wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu na nusu.
Huyu dogo kiukweli simuelewi naona kama mambo yake ni ya kikekike, mara anabeba midoli mgongoni kama mtoto, ukipigwa muziki, staili yake ya kucheza anajibinua anacheza kama anataka kubambiwa, mwenzake akilia anambeleza kama mama yake huku akimwambia nyamaza mwanangu, anapenda sana kuwaita watoto wenzake mwanangu.
Anapenda sana kuiga mambo ya kike kuliko ya kiume.
Swali langu mimi ni kwamba hivi kuna uwezekano huyo dogo akaja kuwa shoga ukubwani?
Na kama ni hivyo, nifanye nini ili huyu dogo abadilike? Hili jambo kiukweli linanifanya nakosa raha kila nikimwangalia huyu dogo.
Nisaidieni wakubwa...
Huyu dogo kiukweli simuelewi naona kama mambo yake ni ya kikekike, mara anabeba midoli mgongoni kama mtoto, ukipigwa muziki, staili yake ya kucheza anajibinua anacheza kama anataka kubambiwa, mwenzake akilia anambeleza kama mama yake huku akimwambia nyamaza mwanangu, anapenda sana kuwaita watoto wenzake mwanangu.
Anapenda sana kuiga mambo ya kike kuliko ya kiume.
Swali langu mimi ni kwamba hivi kuna uwezekano huyo dogo akaja kuwa shoga ukubwani?
Na kama ni hivyo, nifanye nini ili huyu dogo abadilike? Hili jambo kiukweli linanifanya nakosa raha kila nikimwangalia huyu dogo.
Nisaidieni wakubwa...