kwanini?unakauli mbaya....
unakauli mbaya....
unakauli mbaya....
Mkubalie tu bana,dogo ana ugwadu sana.
unakauli mbaya....
Kauli mby kvp?
Mkubalie tu bana,dogo ana ugwadu sana.
Mke mwema anapatikana kwa kumwomba mungu sio kwenye mtandao kama huu, usije ukaoa cd ukaanza kuomba ushauri
mmh,miaka 23! Mbona unayawah maisha,ingekuwa ht 30 kidogo ningekusaidia kukupatia mdogo wangu tena ana sifa kama unazozitaka.
miaka 23 domo zege!! Kuna thread humu wazee wanalalamika wanaume sikuizi kama wanawake...wakiona wanawake wanainamainama wanauma kucha ni wapaka poda n.k
weka picha yako ya pasi poti saizi uliyopiga ukiwa umechuchumaa kwa msisitizo zaidi..
mmh,miaka 23! Mbona unayawah maisha,ingekuwa ht 30 kidogo ningekusaidia kukupatia mdogo wangu tena ana sifa kama unazozitaka.
Vuta subra mwenye kheir n weye atakuja.
anataka kufanya experment za shule
sasa kakosa sampo ndo anatafuta.
Jamani tumpe ushikiliano.