Please l beg you ,Dont leave a woman who has these 7 Qualities ...1 and 3 are most lmportant of all...

unaweza kuelezea kidogo kwa undani hilo andiko?
Wakati ule wafuasi 12 wa Yesu wwlikuwa wakigombania nafasi ya nani awe kiongozi awe na cheo kati yao. Yesu aliwasikia wakinong'ona nyuma yake. Ndio akawambia ya kuwa anayetaka kuwa Mkubwa kati yao sharti awe mtumishi wao soma Marko 10; 43-45
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…