Please Mr President usiende uwanja wa taifa (fainali) tunataka kushinda


we unamjua au unamsikia huyu..yaani hata bila kualikwa anakuja we subiri uone sasa
 
Du! Balaa hilo, jK ana gundu?
Wachezaji wajitume tu, ushindi upo ila hauji kirahisi kiivyo.
 
Nasikia wameshampiga quarantine pale uwanjani chijui atapita wapi? Khe khe kheeeeeeeeeeee lakini kama mjuavyo Rais Mwizi hawezi kukubali .... ati anasema kwani nani anamfahamu Yahaya zaidi kuliko yeye?
 
Kwahiyo washkaji mnataka kusema akienda Dr. Wilbroad Slaa ndio tutashinda?
 
Ila naona kama hajaja maana mgeni rasmi ni Seif wa zenji!
 
du hii kiboko. inaonekana alisikia maombi yenu au badoi alikuwa ziarani nje ya nchi. na kwa vile hakuwepo, basi timu ikashinda kombe limebaki. sasa wanaweza kumpelekea huko Magogoni anakoishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…