naombeni msaada kwa anayefahamu kwa sababu nimekuwa nikipiga sim kuongea na mkuu wa chuo nilichoomba lakini kwa line yangu ya tigo wananiambia kuwa niangalie vizuri number yangu kisha nipige tena. nimejaribu kwa muda mrefu sana bila mafanikio. please naomba msaada wa haraka kwa anayefaham juu hili jambo la muhimu sana katika maisha yangu.
nipo Bagamoyo na napiga sim kwenda Arusha (IAA)
nipo Bagamoyo na napiga sim kwenda Arusha (IAA)