Please!, Naomba nitafutie mchumba wa kunioa.

Huna haja ya kutafuta mi nipo hapa natafuta mchumba wa kuoa
 
Maelezo murua kabisa haya, highly recommended!, unless labda kama mleta uzi kuna kitu anatuficha hapa..
 
Mtoa mada,ujajua labda yy anawataka wachumba wa Dar! Lkn ucwe na wivu bana mbona wako wengi wanamtaka huku kama Juma sal, Fidel80 na mim. Mmh m niondoe nimeairisha cmtaki.. Wafanyie hao wengine mpango wampate bana.
 
Mwambie hivi.
"Nimekosa bana,ila hata mimi nafaa kuwa na wewe"........
then kaa pembeni mwachie mtihani mwenyewe.

So kutafuta mchumba siku hizi ni kama kutafuta gari eh?
 

Unatafutwa wewe mkuu, ila anashindwa kukwambia dadaz wengi huwa ni shy,na kwa kuwa ushamsifia na wewe so fanya mambo or u'r regret latter.
 
Mwambie amwage picha zake za karibuni hapa jamvini!!, atasaidiwa.
 
Labda ishatumika sana anataka kumkamatia mtu. Jiangalieni, mi simo!
Wabongo vitu used mbon ndio sera hata bungeni walipitisha sheria ya kununua vitu chakavu!
Hata wewe jiulize huyo ulienae sio used? Ulimkuta brand new?
Tafakari Chukua Hatua
Haki Mapenzi
 
sijaoa, bado.

Haya sasa...

We mwenyewe unajua personality yake na humtaki......

Iweje utunadiee....?

Mwingize JF kwanza... Atakutana na nondoz ambazo zitashape mind yake...

Kwanza lazima atambue kwamba inampasa ajitambue,na ajithamini... Asijione eti hajatimia,au hajakamilika kwa kukosa mume...
 
we mpige machine kwanza halafu endelea kumtafutia. kwasababu nijuavyo mimi siku hizi hatutafutiani mchumba. ukiona mtu wa jinsia tofauti na si ndugu yako anakuambia umtafutie mchumba pambanua vizuri. wengine wanahitaji kupigwa machine wao wenyewe kama huyu
 
Mwambie hivi.
"Nimekosa bana,ila hata mimi nafaa kuwa na wewe"........
then kaa pembeni mwachie mtihani mwenyewe.

So kutafuta mchumba siku hizi ni kama kutafuta gari eh?
Huu ushauri nimeupenda!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…