Bora awe rais kwani bila hivyo maisha ya ccm yatakuwa hatarini zaidi kwani mpaka sasa wanatafuta sumu kwani binadamu pekee anayewakosesha usingizi wa ulaji ni dr.slaa ndiyo maana mpaka wameamua kutumia pesa walizoiba epa kuamua hata kusambaza vijarida vya bura kueneza uzushi na mambo binafsi.......................bora tu awe rais kwani akina makamba hawatasalimika tena...........