Ni hivi sasa hivi nipo mbioni kuja Dar es salaam, pia nitakaa kama mwezi mmoja hv, sasa wasiwasi wangu ni kwamba ni mitaa gani nitakuwa napata chakula (vyakula kama vya huku mikoani)maana naogopa sana kula vyakula wanavyokula wanaume wa Dar!
Kuhusu bei ya mwendokasi sio tatizo maana nimeshazoea kutembea km 50 kwa siku kwahiyo sitahitaji kupanda daladala, sema wasiwasi wangu ni kuhusu misosi tu nisije nikawa kama wanaume wa Dar,please msaada wenu ni wa muhimu sana kunijuza ni pande zipi nitapata chakula cha ukweli