ally linje
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 222
- 50
Kuna kijana anaishi na mama yake temeke so,mama na baba yake walichana miaka mitano iliyopita sasa huyu kijana toka wazazi wake waachane hakuna malezi anayoyapata kutoka kwa baba mpaka kufiki sasa,
but yote kwake kayaona ni ya kawaida hla kinachomuumiza zaidi ni kukosa pesa ya kulipia college now ni mwaka wa 2 so anaitaji ushauri wa kisheria maana baba yake anaahadi za uongo.please anaitaji msaada
but yote kwake kayaona ni ya kawaida hla kinachomuumiza zaidi ni kukosa pesa ya kulipia college now ni mwaka wa 2 so anaitaji ushauri wa kisheria maana baba yake anaahadi za uongo.please anaitaji msaada