joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba ipi hiyo wanafuata? In the last 10 years attempts ngapi zimefanyika kuibadili ili ku-suit ajenda binafsi za kiukabila?Bora Kenya wanaheshimu katiba na misingi waliojiwekea..kuliko nchi ya wadanganyika..absurd
#MaendeleoHayanaChama
Katiba ipi hiyo wanafuata? In the last 10 years attempts ngapi zimefanyika kuibadili ili ku-suit ajenda binafsi za kiukabila?
Siasa ya Kenya hainaga rafiki huyu na yule huyo na huyu 2017 Uhuru na Ruto upande mmoja kupitia jubilee upande mwingine NASA Raila,Kalonzo, Moses Wetangula na Musalia Mudavadi.....Then.......Now Ruto Musalia Mudavadi na Moses Wetangula UDA upande mwingine Uhuru, Raila Kalonzo upande mmoja
Wapi wanaheshimu katiba Kenya ni ghetto tuuBora Kenya wanaheshimu katiba na misingi waliojiwekea..kuliko nchi ya wadanganyika..absurd
#MaendeleoHayanaChama
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]