Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
Kiwanja chenye nyumba na frem za maduka kinauzwa Igoma Jijini Mwanza
Details
Size: hatua 60 kwa 40 (hatua za miguu za mtu mzima)
Huduma zote za kijamii zipo wakuu wangu.
Eneo lilishaendelea zamani tu ndio maana bei imechangamka.!!
Bei: 75 million.
Piga simu 0683011003
JINSI YA KUFIKA.
Kiwanja kiko eneo la machinjioni, igoma jijini mwanza.
Hapa ni upande wa nyuma wa zile fremu za maduka, kwa mbele kidogo choo inaonekana, na kulia kwako ni nyumba za majirani.
Kimepimwa, hati ipo.
Kiko barabarani kama inavyoonekana.
Kina Fremu 4 za maduka kama zinavyoonekana na ziko tayari kwa matumizi.
Hizo frem ziko tayari kwa matumizi, hapa mbele ni barabara inapita inayoenda mpaka machinjioni na kukata kwenda kijereshi kuunga barabara kuu ya lami Mwanza Musoma.
Kina nyumba ya chumba na sebule.
Nyumba kamili ya makazi kama inavyoonekana. Unaweza kununua na kuweka mtu aendelee kuishi hapa akulindie kiwanja, au ukabomoa na kujenga unachotaka.
Umeme uko hapo.
Ukitokea Kijereshi kwa gari, unakata kuja machinjioni sokoni kisha unakata ndani unafika, mkabala na nguzo namba 5 ya umeme mwanza-musoma.
Details
Size: hatua 60 kwa 40 (hatua za miguu za mtu mzima)
Huduma zote za kijamii zipo wakuu wangu.
Eneo lilishaendelea zamani tu ndio maana bei imechangamka.!!
Bei: 75 million.
Piga simu 0683011003
JINSI YA KUFIKA.
Kiwanja kiko eneo la machinjioni, igoma jijini mwanza.
Hapa ni upande wa nyuma wa zile fremu za maduka, kwa mbele kidogo choo inaonekana, na kulia kwako ni nyumba za majirani.
Kimepimwa, hati ipo.
Kiko barabarani kama inavyoonekana.
Kina Fremu 4 za maduka kama zinavyoonekana na ziko tayari kwa matumizi.
Hizo frem ziko tayari kwa matumizi, hapa mbele ni barabara inapita inayoenda mpaka machinjioni na kukata kwenda kijereshi kuunga barabara kuu ya lami Mwanza Musoma.
Kina nyumba ya chumba na sebule.
Nyumba kamili ya makazi kama inavyoonekana. Unaweza kununua na kuweka mtu aendelee kuishi hapa akulindie kiwanja, au ukabomoa na kujenga unachotaka.
Umeme uko hapo.
Ukitokea Kijereshi kwa gari, unakata kuja machinjioni sokoni kisha unakata ndani unafika, mkabala na nguzo namba 5 ya umeme mwanza-musoma.