Kutokana na tatizo nililo nalo kwa sasa nalazimika kutangaza kuuza plot yangu iliyoko Kibaha kwa Mathiasi yenye eneo la takribani ekari moja iliyopandwa miti ya aina ya TEAK (mitiki). Bei ni 6 millioni. Kwa mwenye interest anaweza kuniandikia email ndamwe@gmail.com, au simu 0713-354090 kwa mawasiliano zaidi. Asanteni.
Pima,kisha utuambie vipimo vya miti yako ni mita ngapi kwa ngapi,la mwisho miti hiyo ina umri gani mpaka sasa. tupe na umbali toka barabarani mpaka ktk plot yako.