Plot na nyumba (unfinished)vinauwa -Mbweni Masite

Plot na nyumba (unfinished)vinauwa -Mbweni Masite

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
BEI 55 MIL
Screenshot_20191123-121759.png
Screenshot_20191123-121853.png
Screenshot_20191123-121843.png
Screenshot_20191123-121848.png
Screenshot_20191123-121823.png
Screenshot_20191123-121836.png
Screenshot_20191123-121811.png
Screenshot_20191123-121817.png
PLOT 23*20
+Unfinished house
Ina VYUMBA VINNE
KIMOJA N MASTER BED ROOM
DINING NA SITING ROOM KUBWA
CHOO NA STORE NA JIKO KUBWA
MBWENI MASITE
HAKINA UDALALI
MADALALI.MNAKARIBISHWA WASILIANA NA HUYU SOJA
+255713458722/0688502275
 
Kiukweli 55milioni kwa hiyo 'Nyumba' ni parefu mnoo. Muuzaji tafakari upya au njoo na ufafanuzi zaidi.

Katika hatua za ujenzi, hapo ni kama theluthi moja tu, maana yake kuna theluthi mbili zingine zaidi zitahitajika kwa mnunuzi kuweza kuimalizia hiyo nyumba. Yaani mnunuzi akishanunua itampasa kusaka tena zaidi ya 100milioni ili kuimalizia unless kama hiyo bei ya kununua sio realistic.
 
Kiukweli 55milioni kwa hiyo 'Nyumba' ni parefu mnoo. Muuzaji tafakari upya au njoo na ufafanuzi zaidi.

Katika hatua za ujenzi, hapo ni kama theluthi moja tu, maana yake kuna theluthi mbili zingine zaidi zitahitajika kwa mnunuzi kuweza kuimalizia hiyo nyumba. Yaani mnunuzi akishanunua itampasa kusaka tena zaidi ya 100milioni ili kuimalizia unless kama hiyo bei ya kununua sio realistic.
Mkuu hapo umenunua kiwanja sio nyumba , kwa bei Za viwanja Mbweni JKT ni reasonable price unless kama sio Mbweni beach bei ingepungua kidogo
 
Back
Top Bottom