bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,012
- 741
Boko magengeni kama una kwenda bulumawe . Ni kilometer moja toka main road. barabara ninzuri imechongwa hadi kwenye plotBoko ipi?
Angalia hiyo picha ya kwanza juu utaona hapo mbele ya hizo frem kun barabara inaonekana imechongwa mbele yakeBoko ipi?
Maskini utamjua tu, huna hela wewe endelea kukaa nyumba za kupanga tu. We unafikiri dsm utakuja kuuziwa kiwanja 3000#=Hio bei kubwa sana.
Uwanja ni bure sema kama unefanya maendeleo unarudishiwa hela ya maendelezo.
Acheni kujitaftia utajiri bila kufanya kazi,maafisa wa lukuvi najua imeona hili na watashughulikia
Wewe hata bei za viwanja huzijui kabisaaa na hata ujenzi wa dsm hujui cost zake sikiliz vizuri kiongoz nilipo sema uwanja ni wa buree kabisaaa nilikuwa na maana kubwa sana kwani huo uwanja upo na uzio na kuna hizo frem hapo mbele yake sasa kwa akili ya kawaida tu hivi unaju gharama za kusimamisha fensi? Au gharama za kujenga fensi sasa hiyo bei niliyokutajia haiendani na hiyo plot hata kidogo ni sawa na buree kabisa mimi nina viwanja huku nauza sqm 700 kwa million 45/ 50 na unakuta majani kibao haujajengwa chochote........wewe hujui thamani ya ardhi lait ungejua usingeongea hivyoHio bei kubwa sana.
Uwanja ni bure sema kama unefanya maendeleo unarudishiwa hela ya maendelezo.
Acheni kujitaftia utajiri bila kufanya kazi,maafisa wa lukuvi najua imeona hili na watashughulikia