Pluijm Rasmi Singida United!

PROSPER 05

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
226
Reaction score
217
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga Muholanzi Hans van Pluijm. Ameanguka Saini ya Miaka Miwili Kuifundisha Timu iliyopanda Daraja (VPL) Mwaka huu Singida United.


Nafikiri huu utakuwa ni Mpango wa Muheshimiwa Kutoka Singida kwani yeye ndiye aliyemrudisha Pliuijm Yanga baada ya Kocha huyo kujiuzuru Mara ya Kwanza na yeye pia ni mmoja kati ya watu wazito wanaoisapoti Singida UNTD

Nategemea Upinzani Mkubwa Kutoka Singida UNTD VPL mwakani kwa Vigogo wa Soka. Na sitegemei iwe kama Toto Africans....
 
Safi comred Mwigulu Lameck.Singida united ndiyo timu unayotakiwa kuitengeneza na siyo Yanga.Umeonyesha moyo wa uzalendo.
 
Hamna kosa kubwa tulilolifanya wana jangwani kama kumuacha Hans Van Pluijm
 
Nakuunga mkono kumuacha pluijm ni makosa makubwa sana kwani ndio kocha aliyetupa ujasili wanajangwani hatakama tukicheza na timu kubwa kias gani bado tunajipa moyo wa ushindi sio huyu wa sasa simuelewe hatakidogo anatoa beki anaingiza mshambulia tena acheze beki IPO siku atatoa kipa sijui atamuingiza kiungo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…