Plz and over plz dada zangu.....

................mwenye tatizo ni wewe,nini cha ajabu ulichoona hapo kiasi cha kupoteza muda wako kuandika humu na kutufanya sisi tuome ujinga huo.:frusty:

wewe mie naona hili ni jambo la maana sana kuleta hapa..

kama we waona hayakufai au ni mambo ya kijinga..
si ungeruka tu yanini kupoteza muda wako kusoma hapa
kama hii sio type yako ya thread.??
 
a problem can be a solution to another problem!

Hapa sijakuelewa Mpenzi? How does this relate to the "story"?

BTW: Ni bahati mbaya walikutwa wakifanya otherwise inanoga sana when it is done differently!
 
................mwenye tatizo ni wewe,nini cha ajabu ulichoona hapo kiasi cha kupoteza muda wako kuandika humu na kutufanya sisi tuome ujinga huo.:frusty:

wewe mie naona hili ni jambo la maana sana kuleta hapa..

kama we waona hayakufai au ni mambo ya kijinga..
si ungeruka tu yanini kupoteza muda wako kusoma hapa
kama hii sio type yako ya thread.??


AD Ahsante kwa kumsaidia. Ndo maana nadhani kuna mtu ameshauri kuwe na jukwaa la watoto... huu ni utoto ambao inabidi waundiwe jukwaa lao la kupeleka utoto wao

Mwenzetu kwa ushauri wangu ningekushauri ukiona maada iko juu ya uwwezo wako wa kuelewa na inakuchanganya akili, kama alivyokushauri AD, tambaa ukachangie maada iliyoko ndani ya uwezo wako...ziko nyingi za watoto wenzako
 
ivi kwa nini siku hizi mamia ya wanafunzi kwenye vyuo vya juu hawajiheshimu. yaani wazazi wanajinyima kuwasomesha lakini percent 99 wanapotezea kwenye ufuska. siku hizi shule hakuna ni usanii tu. jamani hizo ngono mtazikuta tu na mtazichoka, malizeni masomo vizuri. mimi nasema elimu ya sasa ni kama ifuatavyo:

Std 7 ya miaka hii = kindergarten ya miaka ya nyuma
Form Four ya sasa= darasa la nne la zamani
form 6 ya sasa= darasa la saba la zamani
university level ya sasa=form 2 ya zamani

shule hakunaaaaaaaaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…