McDeedanny
Member
- Apr 14, 2013
- 56
- 7
Nawasalim wote ndugu zangu,nilikuwa nauliza na kuuliza jmn so ujinga nikwamba cjui ndomaana nawauliza ndugu zangu,kutokana na matokeo kutoka ndugu zangu nimepata div 4 ya 29 so ndugu zangu nilikuwa nauliza naweza pata hata shule ya prvt form 5. Au chuo cha maanamaana