Nawasalim wote ndugu zangu,nilikuwa nauliza na kuuliza jmn so ujinga nikwamba cjui ndomaana nawauliza ndugu zangu,kutokana na matokeo kutoka ndugu zangu nimepata div 4 ya 29 so ndugu zangu nilikuwa nauliza naweza pata hata shule ya prvt form 5. Au chuo cha maanamaana
kama una credit mbili unaweza soma advance huku unatafuta moja.inawezekana.but kama huna credit piga shortcut chuo advance potezea alafu kaza msuli utafanikiwa kusoma digri unayotaka