Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Jana wakati fulani nilimwona PM Majaliwa akishuka kwenye gari huku uso wake kwa hakika ukionyesha ni mtu mwenye mawazo.
Huenda PM ana stress zake binafsi.
Lakini mimi kama mtu mzima nahisi ndugu yangu yule hayupo sawa tena sana!
Tumwombee.
Huenda PM ana stress zake binafsi.
Lakini mimi kama mtu mzima nahisi ndugu yangu yule hayupo sawa tena sana!
Tumwombee.