warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mkali wa sauti , panclas ndaki "pnc" amefunguka kuwa ameamua kupambana kivyake bila msimamizi kwenye game ili kuhakikisha mziki wake unasonga mbele. Amefunguka hayo Mara baada ya boss wa management ya mtanashati entertainment iliyokuwa ikimsimamia , ostaz juma na musoma kumuaibisha mtandaoni kwa kuweka picha za staa huyo alipokuwa akimuomba msamaha.