Pochi tatu za kugawa mshahara wako ili kuweka mipango ya maisha

Pochi tatu za kugawa mshahara wako ili kuweka mipango ya maisha

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Kipato cha walio wengi ni mshahara, hata kama unafanya biashara ni muhimu kujiwekea mshahara wako, hii itakusidia kuiheshimu faida na kutokuigusa.

Matumizi ya muhimu katika mshahara ni chakula, kodi ya nyumba na usafiri. Haya yanatakiwa kutolewa katika mshahara kabla hujapanga mipango yeyote mingine.

Matumizi yanayofuatia ni

1. Mipango ya muda mrefu, hii ni pesa itakayokusaidia uzeeni kama utajaliwa kuishi kufikia uzee. Hakuna kitu kibaya kama uzee bila pesa. Kumbuka katika umri huu huna nguvu za kufanya kazi. Licha ya kuwa mwanachama wa mifuko ya jamii ikiwezekana kuwa na pensions fund yako binafsi. Ukianza kuweka laki moja kila mwezi ukiwa na miaka 25 mpaka ukifikisha miaka 50 unakuwa umeuaga umasikini.

2. Mipango ya muda wa kati hii inakuwa na ki pochi cha pili. Katka mipango hii unaweza kupata pesa za kununua kiwanja na kujenga makazi. Hatimae unapunguza uzito katka matumizi ya mshahara. Hapa ikiwezekana uwekezaji uwe mkubwa kuliko poxhi ya awali.

3. Kifuko cha mwisho ni mipango ya muda mfupi. Hapa unaweka manununzi ya nguo na pesa ya kwenda likizo. Mipango ni muhimu, usinunue nguo kwakua bei imepungua, kama haiko kwenye mipango yako achana nayo.

Ukiwa na nidhamu hii unaweza kuitwa bahili kwani hata pesa ya kumwagilia moyo ni lazima iwe kwenye mipango. Kuna wakati hata muda wa kumwagilia moyo utawaza kuongeza chochote kwenye vifuko vyako.

Kinacho angusha wengi ni huduma za Jamii. Kama serikali haijawekeza ipasavyo katika huduma madhlani za afya, mtu wako wa karibu akiugua mfano saratani, gharama za kwenda Ocean Road kwenye mionzi na huduma za kila siku zinaweza kumaliza akiba yako yote.
 
Screenshot_20230228-074341_WhatsApp.jpg
 
Kipato cha walio wengi ni mshahara, hata kama unafanya biashara ni muhimu kujiwekea mshahara wako, hii itakusidia kuiheshimu faida na kutokuigusa.
a Jamii. Kama serikali haijawekeza ipasavyo katika huduma madhlani za afya, mtu wako wa karibu akiugua mfano saratani, gharama za kwenda Ocean Road kwenye mionzi na huduma za kila siku zinaweza kumaliza akiba yako yote.
Uzi mzuri Dada sky
 
Kipato cha walio wengi ni mshahara, hata kama unafanya biashara ni muhimu kujiwekea mshahara wako, hii itakusidia kuiheshimu faida na kutokuigusa.

Matumizi ya muhimu katika mshahara ni chakula, kodi ya nyumba na usafiri. Haya yanatakiwa kutolewa katika mshahara kabla hujapanga mipango yeyote mingine.

Matumizi yanayofuatia ni
1. Mipango ya muda mrefu, hii ni pesa itakayokusaidia uzeeni kama utajaliwa kuishi kufikia uzee. Hakuna kitu kibaya kama uzee bila pesa. Kumbuka katika umri huu huna nguvu za kufanya kazi. Licha ya kuwa mwanachama wa mifuko ya jamii ikiwezekana kuwa na pensions fund yako binafsi. Ukianza kuweka laki moja kila mwezi ukiwa na miaka 25 mpaka ukifikisha miaka 50 unakuwa umeuaga umasikini.

2. Mipango ya muda wa kati hii inakuwa na ki pochi cha pili. Katka mipango hii unaweza kupata pesa za kununua kiwanja na kujenga makazi. Hatimae unapunguza uzito katka matumizi ya mshahara. Hapa ikiwezekana uwekezaji uwe mkubwa kuliko poxhi ya awali.

Kifuko cha mwisho ni mipango ya muda mfupi. Hapa unaweka manununzi ya nguo na pesa ya kwenda likizo. Mipango ni muhimu, usinunue nguo kwakua bei imepungua, kama haiko kwenye mipango yako achana nayo.

Ukiwa na nidhamu hii unaweza kuitwa bahili kwani hata pesa ya kumwagilia moyo ni lazima iwe kwenye mipango. Kuna wakati hata muda wa kumwagilia moyo utawaza kuongeza chochote kwenye vifuko vyako.

Kinacho angusha wengi ni huduma za Jamii. Kama serikali haijawekeza ipasavyo katika huduma madhlani za afya, mtu wako wa karibu akiugua mfano saratani, gharama za kwenda Ocean Road kwenye mionzi na huduma za kila siku zinaweza kumaliza akiba yako yote.
FB_IMG_1677556854945.jpg
 
Kama hela ya ugali maharage tuu mpaka kichwa kiume hayo mmbo ya kugawa kwenye mifuko tofauti utayaweza kweli au nadharia tuu?
Mambo ya hela ya investment, emergwncy fund inawezekana tuu kama kipato kina cover basic needs zote na surplus inakuwepo
 
Kipato cha walio wengi ni mshahara, hata kama unafanya biashara ni muhimu kujiwekea mshahara wako, hii itakusidia kuiheshimu faida na kutokuigusa.

Matumizi ya muhimu katika mshahara ni chakula, kodi ya nyumba na usafiri. Haya yanatakiwa kutolewa katika mshahara kabla hujapanga mipango yeyote mingine.

Matumizi yanayofuatia ni
1. Mipango ya muda mrefu, hii ni pesa itakayokusaidia uzeeni kama utajaliwa kuishi kufikia uzee. Hakuna kitu kibaya kama uzee bila pesa. Kumbuka katika umri huu huna nguvu za kufanya kazi. Licha ya kuwa mwanachama wa mifuko ya jamii ikiwezekana kuwa na pensions fund yako binafsi. Ukianza kuweka laki moja kila mwezi ukiwa na miaka 25 mpaka ukifikisha miaka 50 unakuwa umeuaga umasikini.

2. Mipango ya muda wa kati hii inakuwa na ki pochi cha pili. Katka mipango hii unaweza kupata pesa za kununua kiwanja na kujenga makazi. Hatimae unapunguza uzito katka matumizi ya mshahara. Hapa ikiwezekana uwekezaji uwe mkubwa kuliko poxhi ya awali.

3. Kifuko cha mwisho ni mipango ya muda mfupi. Hapa unaweka manununzi ya nguo na pesa ya kwenda likizo. Mipango ni muhimu, usinunue nguo kwakua bei imepungua, kama haiko kwenye mipango yako achana nayo.

Ukiwa na nidhamu hii unaweza kuitwa bahili kwani hata pesa ya kumwagilia moyo ni lazima iwe kwenye mipango. Kuna wakati hata muda wa kumwagilia moyo utawaza kuongeza chochote kwenye vifuko vyako.

Kinacho angusha wengi ni huduma za Jamii. Kama serikali haijawekeza ipasavyo katika huduma madhlani za afya, mtu wako wa karibu akiugua mfano saratani, gharama za kwenda Ocean Road kwenye mionzi na huduma za kila siku zinaweza kumaliza akiba yako yote.

Andiko ni jema ila kwa serikali hii iliyodhamiria kuwafukarisha watu wake ni vigumu kutoboa labda uwe mlamba asali kweli kweli:

Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

LATRA hili la ving'amuzi ni uonevu uliopitiliza

Ni mwendo wa kupora watu tu.
 
Kama hela ya ugali maharage tuu mpaka kichwa kiume hayo mmbo ya kugawa kwenye mifuko tofauti utayaweza kweli au nadharia tuu?
Mambo ya hela ya investment, emergwncy fund inawezekana tuu kama kipato kina cover basic needs zote na surplus inakuwepo
Kama unaumiza kichwa kupata kodi ya nyumba, chakula na usafiri maana yake unaishi under poverty line.
 
Nikiona neno pochi nawaza pochi manyoya. .

Ila kuna kiti cha kujifunza kuhusu kuweka akina. Kutokana na uzoefu wangu tatizo gharama za maisha haziko fixed kuendana na akina unayoweka. Unaweza shangaa umeweka hela ghafla unaumwa vidonda vya tumbo. Kuna kipindi niliweka laki 6 akiba; ghafla nikaumwa vidonda vya tumboni laki sita yangu ikaishia hospital yote. .
 
Nikiona neno pochi nawaza pochi manyoya. .

Ila kuna kiti cha kujifunza kuhusu kuweka akina. Kutokana na uzoefu wangu tatizo gharama za maisha haziko fixed kuendana na akina unayoweka. Unaweza shangaa umeweka hela ghafla unaumwa vidonda vya tumbo. Kuna kipindi niliweka laki 6 akiba; ghafla nikaumwa vidonda vya tumboni laki sita yangu ikaishia hospital yote. .
Kama uwekezaji katika afya ungekuwa bora, usingetumia akiba yako kujitibu.
 
Nasisitiza tujifunze kuweka akiba kwenye kila pesa tunayoipata! weka 20% only ya kipato chako kama akiba ya muda mrefu.
 
Kama uwekezaji katika afya ungekuwa bora, usingetumia akiba yako kujitibu.
We rafiki yangu wa mtogole unajua kabisa mambo hayatabiriki. Unafikiri watu hawataki kuweka akiba?

Angalia mfano tu gharama za chakula zilivyo juu na ukiwa na familia tu let say watoto kila siku michango huko shule. Nasali kanisa katoliki tandale hapa napokuandikia tu kuna michango ya vijana kila jumuiya elfu 5. Michango mingine sadaka nk mambo yanakuw mengi hata akiba inaisha huelew. .

Somo la akiba ni somo Zurich sana. Swali langu kwako. Je akiba yako uliyoipanga kwa mwajmka huwa inazidi au inapungua? unafikia malengo?
 
We rafiki yangu wa mtogole unajua kabisa mambo hayatabiriki. Unafikiri watu hawataki kuweka akiba?

Angalia mfano tu gharama za chakula zilivyo juu na ukiwa na familia tu let say watoto kila siku michango huko shule. Nasali kanisa katoliki tandale hapa napokuandikia tu kuna michango ya vijana kila jumuiya elfu 5. Michango mingine sadaka nk mambo yanakuw mengi hata akiba inaisha huelew. .

Somo la akiba ni somo Zurich sana. Swali langu kwako. Je akiba yako uliyoipanga kwa mwajmka huwa inazidi au inapungua? unafikia malengo?
Kwakweli ni discipline tu niliyoweka maana yake inability nifanye kazi kuhakikisha vipochi vyangu vitatu viko stable.
 
Acha dharau nilikuwa nakuheshimu sana
Si dharau bali ni hali hali si. Nimegundua ni kwanini Wazungu ni wachoyo katika chakula kwasababu hili ni hitaji lako la awali na kama huwezi kulimudu unahitaji msaada. Wenzetu wanapata msaada wa serikali kama huwezi kununua chakula na kulipa kodi ya nyumba.
 
We rafiki yangu wa mtogole unajua kabisa mambo hayatabiriki. Unafikiri watu hawataki kuweka akiba?

Angalia mfano tu gharama za chakula zilivyo juu na ukiwa na familia tu let say watoto kila siku michango huko shule. Nasali kanisa katoliki tandale hapa napokuandikia tu kuna michango ya vijana kila jumuiya elfu 5. Michango mingine sadaka nk mambo yanakuw mengi hata akiba inaisha huelew. .

Somo la akiba ni somo Zurich sana. Swali langu kwako. Je akiba yako uliyoipanga kwa mwajmka huwa inazidi au inapungua? unafikia malengo?
Uongo!
 
Back
Top Bottom