Asante, kwa kumalizia π
Hakika mkuu tutamuungisha.Na wakaka wanaojali wake zao, wadogo zao, mabinti zao, ni vya kila mtu Mkuu.
Ok tajiriDar mkuu, Ila mikoani tunatuma pia na ndani ya Dar natuma.
Ya kwanza hiyo hapo juu whiteKila pochi Ina bei yake, umeipenda ipi?
Mkuu mbona unahamisha goalKikubwa namba imepatikana mengine yanazungumzika π
Nina bracelets na necklace pia. Shingo ya dada inapendeza na kuvutia ikiwa na necklace bwana[emoji56].
Bracelets 15k
Necklace ni 13k-10k
Kwani Kuna pochi nyingine ππππππMuache anunue pochiπ
Nimeipenda hizi Ms eyesHellow Guys!
Mmeshindaje? Poleni na mahangaiko ya kila siku.
Wadada nina mambo mazuri sana. As we know mwanamke ni pambo lazima liwake na kupendeza muda wowote ili liendelee kuvutia. Jamani nina pochi nzuri sana kwa ajili yenu bei kitonga tu kuanzia 15k, 18k, 25k n.k
Pochi zetu zinafaa kubeba sehemu yoyote ile.
Mfano:
Office
Harusi/shughuli mbalimbali
Outing:dating n.k
For more information: 0747617152 /0714633665
View attachment 2866529View attachment 2866530View attachment 2866531View attachment 2866532View attachment 2866533View attachment 2866534View attachment 2866535
AsanteKaribu sana.