pogba kulipa fadhila kwa mashabik man utd

pogba kulipa fadhila kwa mashabik man utd

davidmanjira

Member
Joined
Jun 9, 2015
Posts
45
Reaction score
8
Baada ya kusajiliwa kwa dau kubwa na kumfanya awe mchezaji ghali zaidi dunian kwa kipindi hiki ni kama amebeba mzigo mkubwa ambao hata yeye mwenyewe utamfanya ajitume zaidi kuuonyesha ulimwengu kuwa alistahili dau hilo
 
Baada ya kusajiliwa kwa dau kubwa na kumfanya awe mchezaji ghali zaidi dunian kwa kipindi hiki ni kama amebeba mzigo mkubwa ambao hata yeye mwenyewe utamfanya ajitume zaidi kuuonyesha ulimwengu kuwa alistahili dau hilo
1470837930580.jpg
 
Baada ya kusajiliwa kwa dau kubwa na kumfanya awe mchezaji ghali zaidi dunian kwa kipindi hiki ni kama amebeba mzigo mkubwa ambao hata yeye mwenyewe utamfanya ajitume zaidi kuuonyesha ulimwengu kuwa alistahili dau hilo
Sisi kwetu, Mavugo kashaanza kulipa hela yetu.
 
Pogba ni mchezaji wa kawaida usiwe brainwashed na kiasi cha pesa alichonunuliwa nacho kwa average ni 15 assists 10 goals per season.
 
Na hiko ndio kitakachomfanya kucheza kwa presha,kwani atakuwa anawaza jinsi atakavyotaka kuonyesha alistahili na kutampelekea kuwa kwenye kipindi cha majeruhi.
 
Back
Top Bottom