Pogba nimeambiwa be free hata kushika kwa mkono mpira

Pogba nimeambiwa be free hata kushika kwa mkono mpira

emmanuel mhecha

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
933
Reaction score
543
Pogba mchezaji aliyenunuliwa kwa bei Kali paund million 100 ni sawa na billion 200 Tsh na zaidi,Mimi kwa mtazamo naona kichefuchefu hata kimbia yake utafikiri hakunyonya maziwa,sasa Leo kaamua kushika Mpira na penati ikapigwa na wakafungwa,hiyo bei ni ya akina Sanchez
 
Shida moja jina lake limetumika na kupewa kiongozi mmoja hivi hii ndio shida kubwaaa
 
Dah huyu mchezaji simpend kabisa anapenda mpira wa show show nyingi ndio anatucost
 
Back
Top Bottom