Pogba VS KDB who is the best?

cha kutoka Wolfsburg kurudi EPL
 
hata Wolfsburg alizungukwa na world-class?
 
alikuwa anapoteza mipira tu mbele ya horjberg week iliyopita KDB wa wolrfusburg umemuona?
 
KDB kaachwa mbali sana na pogba huyu pogba hivi nyie mnamchukuliaje. Huyu ni mmoja ya viungo bora sana kwa wakati huu huwezi mfananisha na KDB hata statistics tu ukiangalia huyo sope wenu kaachwa mbali sana. So mjadala ufungwe hapa jibu ndo hilo
KDB kaiteka dunia akiwa wolrfusburg akiongoza assist dunia nzima pogba aliwahi kuongoza lini?
 
2017/2018 Kaangalie Vizuri Mkuu.


2018/2019 Ni Msimu Mbaya Kwa KDB Maana Amekaa Nje Takribani Nusu Ya Mechi Zote Walizocheza

2019/2020 Balaa Lake Amelianza Na Sidhani Kama Litazima Asipopata Majanga Maana Ndio Key Player Kwa Sasa Wa City Toka Fenandinho Alipoanza Kupata Majeraha Ya Kila Siku
Misimu ya 2017 -2018 na 2018-2019 pogba kampita debruyne total goals na assists kwenye ligi.
Umetumia kigezo gani kusema debruyne ni bora?
 
inatosha mkuu au uongeze sauti kidogo?
 
Kwanza umeanza kumkashifu Pogba kwamba hana cha ziada zaidi ya kunyoa nywele...inaonesha kabisa una mapenzi na Kelvin ambaye unamfananisha naye...Lakini kujibu swali lako, Kelvin na Paul wanazidiana kidogo sana...kwa sasa, Kelvin ni bora kuliko Pogba...tena sana na katika maeneo mengi...lakini hii isikusahaulishe kuwa Paul ni world class player...ameflop tu kwa kipindi hiki na inawezekana kwa factors nyingi...ukitaka kujua hili, angalia world cup iliyoisha kwa individual statistics, ni kiungo gani kacheza vizuri kwenye ile tournament zaidi ya Luka na Paul...its only a matter of time tu kwa hao mafundi...ila in case of me, wote ni bora sana...
Anyway, enjoy soccer bro...Football is not about comparisons, is life....enjoy it!
 
at least you made it too analytical.
 
You are talking rubbish KDB kamzidi kila kitu Pogba
 
Pogba anatakiwa acheze kwenye maonyesho ya katuni na sio kwenye mashindano, huyo Mwamba kwenye serious game atakutia hasara, KDB ni dog hunter, Pogba ana kipaji cha maonyesho na sio real combat....et mpak atafutiwe watu wanaoendana nae ndo aoneshe mavitu, mchezaji gani ili ashine mpak umtengeneze mazingiraaa....yani yeye awepo Tu na madoido yake akiloose mpira basi wawepo maboya wa kufanya covering huku yeye akitulia kususbir tena mpira, nonsense kabisa, sababuu hii inatosha kumuoutclass....huyo sio mchezaji ni mcheza sinema, Ndo mana fergie alimtimua na wakazinguana na Mourinho, binafsi Pogba akienda Mancity atakosa namba
 
Reactions: AHA
KDB kamuacha Pobga mbali. Kijana yupo very consistent. Yaani hata akipiga game kwa 70% ya potential yake, maangamizi kwa team pinzani huwa makubwa. Pogba mechi kibao tu huwa anapotezwa. Overrated.
 
KDB kamuacha Pobga mbali. Kijana yupo very consistent. Yaani hata akipiga game kwa 70% ya potential yake, maangamizi kwa team pinzani huwa makubwa. Pogba mechi kibao tu huwa anapotezwa. Overrated.
Kwel kabisa
 
You are talking rubbish KDB kamzidi kila kitu Pogba
Sema nn kdb kamzidi pogba acha kuongea kwa mihemko toa facts.
Mimi nakwambia pogba misimu miwili iliopita kamzidi debryune magoli na assists. Kamzidi attempred assists kamzidi goal and assists per minute. Pogba alishaingia kwenye kikosi bora cha fifa debryune hajawai.
Wewe sema sasa debryune kamzidi nn pogba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…