Point 3 za Simba hatimaye FIFA wamekata mzizi wa fitna

Hvi hakuna njia nyingine kuzipata hzo point 3? lakini i do hope zawadi zetu za mshindi wa pili bado zipo tukizihitaji!
 
Hahahaaaaa hivi mashabiki wa Simba walikuwa na matumaini kabisa ya kurudishiwa points 3?
Hakuna mpira unaochezwa mezani Duniani.
Labda "Table Tennis" tu nifah..[emoji23]
 
Mim sio shabik wa timu yoyote hapa bongo ila na nyie waTz kweli lugha ni tatizo aisee, "governing boy" ndo nini hiyo ati? Na "tha" je? Af bado mnaiamini hiyo barua.
Nmeliona hilo swala..means ni typing error au kuna kuhuni mmoja kajiandikia huo upuuzii..though am Young African fan!!
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Simba walitaka KUCHENJUA MATOKEO wakati hawana MAKINIKIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…