Habari wadau,
Nawakaribisha kwa ajili ya huduma zangu nzuri .
Niko na systems au applications ambazo zinafaa sana kwa wale wenye maduka ,supermarkets ,pharmacy au biashara nyingine yoyote ambayo unahisi unapenda kuangalia mahesabu yako viruzi.
Vitu ambavyo unaweza kuvipata
1. Kurekodi mauzo yako
2. Kurekedi/kuingiza manunuzi yako
3. Kurekodi bei za biadhaa zako
4. Kuingiza idadi ya biadhaa zako/stock
5. Kuangalia /kupata taarifa ya expiry
6. Kuwa na sehemu ya bei ya jumla,na rejareja
7.Kupata ripoti za faida
8. Kupata ripoti za stock yako na mzunguko wa vilivyoingia na kutoka
9. Mfumo wa point kwa bidhaa
10. Na kadhalika
Pia tuna mifumo inayofaa Hospital Management System, Hotel Management, Asset Management ,File management system, Task Managamanet system,Ticketing system etc
Karibu sana .Kwa yoyote atakayependa tuongee kwa karibu ,njoo inbox.
MJC
Nawakaribisha kwa ajili ya huduma zangu nzuri .
Niko na systems au applications ambazo zinafaa sana kwa wale wenye maduka ,supermarkets ,pharmacy au biashara nyingine yoyote ambayo unahisi unapenda kuangalia mahesabu yako viruzi.
Vitu ambavyo unaweza kuvipata
1. Kurekodi mauzo yako
2. Kurekedi/kuingiza manunuzi yako
3. Kurekodi bei za biadhaa zako
4. Kuingiza idadi ya biadhaa zako/stock
5. Kuangalia /kupata taarifa ya expiry
6. Kuwa na sehemu ya bei ya jumla,na rejareja
7.Kupata ripoti za faida
8. Kupata ripoti za stock yako na mzunguko wa vilivyoingia na kutoka
9. Mfumo wa point kwa bidhaa
10. Na kadhalika
Pia tuna mifumo inayofaa Hospital Management System, Hotel Management, Asset Management ,File management system, Task Managamanet system,Ticketing system etc
Karibu sana .Kwa yoyote atakayependa tuongee kwa karibu ,njoo inbox.
MJC