Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok,tack!Fungua na utafute matokeo ya kidato cha nne 2013 then fungua shule yeyote ile uone mambo haya
Hiviii! kipindi ml**o anatangaza div V hakutoa mchanganuo? màana BRN iko kazini.jamani naomba msaada kwa anaeujua vizur mchanganua wa div one had zero anisaidie maana sielew kabixa
Leo nimeanza kuona maajabu ya dunia pale nilipokutana na mambo ya ajabu sana katika matokeo ya kidato cha nne kwa kukuta division 4 ya point 43. Hivi wadau elimu yetu kwanni tunaruhusu wanasiasa waichezee kias hiki?
Hiviii! kipindi ml**o anatangaza div V hakutoa mchanganuo? màana BRN iko kazini.
Hapo ngoma inakuja kwenye kujiunga Form V kwani majamaa watapa watu wachache sana kwani ufaulu ni mdogo sana kwa viwango vya kupangiwa shule! Na hizo credit zinahesabiwa kwa kuchukua masomo saba aliyofaulu mtu na kuanza kuhesabu kama hivi:- A=1; B+=2; B=3; C=4; D=5; E=6 na F=7!
lakini si walisema huu mchanganuo hautafuatwa? elimu bongo kwishney