Point za madaraja - Matokeo ya form four yako kisiasa zaidi

Point za madaraja - Matokeo ya form four yako kisiasa zaidi

oh, tatizo ni kwamba watanzania wengi hawjui ya kwamba kunatayarishwa makundi mawili katika jamii hii, watawala na watawaliwa, elimu ya tanzania , haina jipya wanaiharibu maksudi ili vizazi vyao viendelee kutawala, shule za binafsi ndo kidogo zinafanya vizuri katika ufaulu na je angalia ziko ngapi na watanzania wangapi wanaeza peleka watoto wao huko, embu angalia si kwamba sikipendi kiswahili, lakini eti wanataka masomo yaendeleee kufundishwa kwa kiswahili, hivi tutafika kweli, china yenyewe yenye mtaji mkubwa sasa hivi wanajifunza englishi kwa kasi zaidi , sembuse sisi maskini wa tz , we need changes
 
itafika maali katika kuajiriwa unaulizwa ulimaliza form 4 mwaka gani? wahitim wasasa wanashida
 
Vipi mwaka huu hakuna Penalty ya B/Maths?[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD]S0263/0060
[/TD]
[TD]F
[/TD]
[TD]22
[/TD]
[TD]II
[/TD]
[TD]CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' B/KNOWL - 'D' KISW - 'B+' ENGL - 'B+' BIO - 'B' B/MATH - 'F' FOOD - 'B'
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S0263/0069
[/TD]
[TD]F
[/TD]
[TD]22
[/TD]
[TD]II
[/TD]
[TD]CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'B+' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'D' FOOD - 'B+'
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S0207/0065
[/TD]
[TD]F
[/TD]
[TD]22
[/TD]
[TD]II
[/TD]
[TD]CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' B/KNOWL - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'B+' LIT ENG - 'B' BIO - 'B' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Wanajamvi,

Kumbe kitendo cha kugomea divistion V ndio imeletwa katika sura tofauti. Hivi tunaipelekawapi elimu yetu jamani? Ukifuatilia mgawanyo wa Grades utagundua hii ni janja janja na ufaulu umepanda tokana na janja hiyo.

-------------

Sasa mkuu tuchukue hatua gani maana mi sijui nianze wapi ila nimekerwa sana.
 
dah mke wangu hakufanya vizuri miaka ya nyuma akakata tamaa ya kusoma kaona haya matokeo amepata mawazo ya kurudia asee
 
Na nyinyi mliomchagua Jk mna matatizo. natamani JK aendelee kuwa rais tuone vituko zaidi
 
IV 42,43,45 wamewekewa wale waliopata alama C mpaka A angalau katka somo moja lakn kwa wale waliopata div 0 42,43,44 mpaka 49 wameshindwa kupata alama C mpaka A angalau somo moja ni uchunguz wang nilioufanya aisee kwa maana nyingne wamepata bonus
 
Back
Top Bottom