Poland imesitisha misaada ya silaha kwa Ukraine! Ukraine yaanza kuchokwa

Poland imesitisha misaada ya silaha kwa Ukraine! Ukraine yaanza kuchokwa

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,600
Reaction score
35,158
Sasa rasmi ukraine yaanza kuchokwa. Poland kasitisha misaada ya silaha kwa ukraine.

Naona joto limeanza kupanda muda wowote Ukraine atafosiwa akae mezani na Mrusi vita iishe.

Urusi apewe pongezi kwa kuweza kumudu kupigana na mataifa 31 ya NATO pale ukraine!

NB: Kuna uwezekano hifadhi ya silaha ya NATO imeanza kusisha sasa wanatafuta mlango wa kutokea.
 
Muda utaongea. Kila upande upo tayari kwa mazungumzo, kikwazo ni masharti ya kila upande, na masharti hayo ni muhimu kwa kila upande ndio maana vita inaendelea mpaka sasa.

Ukrain anataka arudishe maeneo yake yote ndio aingie kwenye meza ya mazungumzo, wakati Urus anataka kuingia kwenye mazungumzo akiwa ameyashikilia maeneo ya Urus hasa Donbass.

Tafsiri yake ni kwamba, vita vitaendelea kupiganwa la sivyo Ukrain akubali kuachilia Donbass iende kwa Urus.
 
Muda utaongea. Kila upande upo tayari kwa mazungumzo, kikwazo ni masharti ya kila upande, na masharti hayo ni muhimu kwa kila upande ndio maana vita inaendelea mpaka sasa.

Ukrain anataka arudishe maeneo yake yote ndio aingie kwenye meza ya mazungumzo, wakati Urus anataka kuingia kwenye mazungumzo akiwa ameyashikilia maeneo ya Urus hasa Donbass.

Tafsiri yake ni kwamba, vita vitaendelea kupiganwa la sivyo Ukrain akubali kuachilia Donbass iende kwa Urus.
Kwa mujibu wa wachambuz wa hapa karume mchikichin wanaamin Ukraine hana nguvu hata chembe ya kimaamuz kuhusu mustakabal wa mtanange unaoendelea nchini mwao tena wanataman mashambuliz yasitishwe kwa makubaliano ya aina yoyote ili waweze kula bata kutokana na ukwasi walioupata kutokana na michango ya west lkn tatizo lipo kwa sponsa haelew chochote kuhusu kusitisha mapigano
 
Kwa mujibu wa wachambuz wa hapa karume mchikichin wanaamin Ukraine hana nguvu hata chembe ya kimaamuz kuhusu mustakabal wa mtanange unaoendelea nchini mwao tena wanataman mashambuliz yasitishwe kwa makubaliano ya aina yoyote ili waweze kula bata kutokana na ukwasi walioupata kutokana na michango ya west lkn tatizo lipo kwa sponsa haelew chochote kuhusu kusitisha mapigano
Na wachambuzi wa mwanarumango Kisarawe nao wanasemaje kuhusu hili
 
Sasa rasmi ukraine yaanza kuchokwa. Poland kasitisha misaada ya silaha kwa ukraine.

Naona joto limeanza kupanda muda wowote Ukraine atafosiwa akae mezani na Mrusi vita iishe.

Urusi apewe pongezi kwa kuweza kumudu kupigana na mataifa 31 ya NATO pale ukraine!

NB: Kuna uwezekano hifadhi ya silaha ya NATO imeanza kusisha sasa wanatafuta mlango wa kutokea.
Leo wamepewa msaada na America...
 
Sasa rasmi ukraine yaanza kuchokwa. Poland kasitisha misaada ya silaha kwa ukraine.

Naona joto limeanza kupanda muda wowote Ukraine atafosiwa akae mezani na Mrusi vita iishe.

Urusi apewe pongezi kwa kuweza kumudu kupigana na mataifa 31 ya NATO pale ukraine!

NB: Kuna uwezekano hifadhi ya silaha ya NATO imeanza kusisha sasa wanatafuta mlango wa kutokea.
Futa uongo hapa, ulichoandika na kilichotokea ni tofauti kabisa, Poland kusitisha kuwa daraja kusambaza silaha Ukraine ni makubaliano maalum ili kuruhusu Ukraine na mradi wake kusafirisha nafaka., Poland sio nchi binafsi iliyokuwa ikitoa silaha kupeleka ukrean, silaha zinatoka mataifa tele ya ulaya ikiwemo na hiyo poland kwa mwisho mwisho

Silaha sasa Ukraine zinamiminika kama mvua ukitoa poland njia zipo nyingi na njia zipo nyingi sana, kumbuka sasa Ukraine wanatengeneza drones kwa mikono yao na kuripua submarines za kivita za russia na jana umeona moto kule Cremea ambako mumesema ikiguswa mtaanzisha vita ya 3
 
Poland kastukia mchezo,wakati Uikrane inapigika ilionekana wazi Kuna nchi nyingine itakung'utwa.

Wagner walipokuwa Belarus,ndege zao mbili zilivuka mpaka na kuingia Poland.

Poland isipokua makini itakumbatiwa na Wagner.
 
Sasa rasmi ukraine yaanza kuchokwa. Poland kasitisha misaada ya silaha kwa ukraine.

Naona joto limeanza kupanda muda wowote Ukraine atafosiwa akae mezani na Mrusi vita iishe.

Urusi apewe pongezi kwa kuweza kumudu kupigana na mataifa 31 ya NATO pale ukraine!

NB: Kuna uwezekano hifadhi ya silaha ya NATO imeanza kusisha sasa wanatafuta mlango wa kutokea.
Na wanajeshi wa Ukrain wanajisalimisha wameshachoka na vita.
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2023-10-03 at 09.54.05.mp4
    21.4 MB
Ttzo unapost uongo na unatoa taarifa za uongo ugomvi wa poland na ukrain umekuja baada ya poland kukataa ngano ya ukrain sabu ngano ya ukrain inauzwa bei nafuu kwaiyo inasaathili wakulima wa poland na maeneo jiran

Siungi watu kula ila pia acha kutupa taarifa za uongo zlizokaa kishabiki ttzo lenu warashia weusi mnaleta propaganda sana
 
Muda utaongea. Kila upande upo tayari kwa mazungumzo, kikwazo ni masharti ya kila upande, na masharti hayo ni muhimu kwa kila upande ndio maana vita inaendelea mpaka sasa.

Ukrain anataka arudishe maeneo yake yote ndio aingie kwenye meza ya mazungumzo, wakati Urus anataka kuingia kwenye mazungumzo akiwa ameyashikilia maeneo ya Urus hasa Donbass.

Tafsiri yake ni kwamba, vita vitaendelea kupiganwa la sivyo Ukrain akubali kuachilia Donbass iende kwa Urus.
na kwann aachilie eneo lake kwann Urusi asiachilie Rostov hlf kubali kukaa mezan
 
Back
Top Bottom