Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Shosti upoViva urusi piga mashoga
Kwa mujibu wa wachambuz wa hapa karume mchikichin wanaamin Ukraine hana nguvu hata chembe ya kimaamuz kuhusu mustakabal wa mtanange unaoendelea nchini mwao tena wanataman mashambuliz yasitishwe kwa makubaliano ya aina yoyote ili waweze kula bata kutokana na ukwasi walioupata kutokana na michango ya west lkn tatizo lipo kwa sponsa haelew chochote kuhusu kusitisha mapiganoMuda utaongea. Kila upande upo tayari kwa mazungumzo, kikwazo ni masharti ya kila upande, na masharti hayo ni muhimu kwa kila upande ndio maana vita inaendelea mpaka sasa.
Ukrain anataka arudishe maeneo yake yote ndio aingie kwenye meza ya mazungumzo, wakati Urus anataka kuingia kwenye mazungumzo akiwa ameyashikilia maeneo ya Urus hasa Donbass.
Tafsiri yake ni kwamba, vita vitaendelea kupiganwa la sivyo Ukrain akubali kuachilia Donbass iende kwa Urus.
Na wachambuzi wa mwanarumango Kisarawe nao wanasemaje kuhusu hiliKwa mujibu wa wachambuz wa hapa karume mchikichin wanaamin Ukraine hana nguvu hata chembe ya kimaamuz kuhusu mustakabal wa mtanange unaoendelea nchini mwao tena wanataman mashambuliz yasitishwe kwa makubaliano ya aina yoyote ili waweze kula bata kutokana na ukwasi walioupata kutokana na michango ya west lkn tatizo lipo kwa sponsa haelew chochote kuhusu kusitisha mapigano
Leo wamepewa msaada na America...Sasa rasmi ukraine yaanza kuchokwa. Poland kasitisha misaada ya silaha kwa ukraine.
Naona joto limeanza kupanda muda wowote Ukraine atafosiwa akae mezani na Mrusi vita iishe.
Urusi apewe pongezi kwa kuweza kumudu kupigana na mataifa 31 ya NATO pale ukraine!
NB: Kuna uwezekano hifadhi ya silaha ya NATO imeanza kusisha sasa wanatafuta mlango wa kutokea.
Shost tena na madevu yangu.Shosti upo
Nasemea Poland sio marekani. By the way hii misaada italipwa vipi? Hayatakua yale mambo ya kumilisha bandari kama akina dp world na Tz?Leo wamepewa msaada na America...
Duuuuu!!!!Na wachambuzi wa mwanarumango Kisarawe nao wanasemaje kuhusu hili
Futa uongo hapa, ulichoandika na kilichotokea ni tofauti kabisa, Poland kusitisha kuwa daraja kusambaza silaha Ukraine ni makubaliano maalum ili kuruhusu Ukraine na mradi wake kusafirisha nafaka., Poland sio nchi binafsi iliyokuwa ikitoa silaha kupeleka ukrean, silaha zinatoka mataifa tele ya ulaya ikiwemo na hiyo poland kwa mwisho mwishoSasa rasmi ukraine yaanza kuchokwa. Poland kasitisha misaada ya silaha kwa ukraine.
Naona joto limeanza kupanda muda wowote Ukraine atafosiwa akae mezani na Mrusi vita iishe.
Urusi apewe pongezi kwa kuweza kumudu kupigana na mataifa 31 ya NATO pale ukraine!
NB: Kuna uwezekano hifadhi ya silaha ya NATO imeanza kusisha sasa wanatafuta mlango wa kutokea.
Na wanajeshi wa Ukrain wanajisalimisha wameshachoka na vita.Sasa rasmi ukraine yaanza kuchokwa. Poland kasitisha misaada ya silaha kwa ukraine.
Naona joto limeanza kupanda muda wowote Ukraine atafosiwa akae mezani na Mrusi vita iishe.
Urusi apewe pongezi kwa kuweza kumudu kupigana na mataifa 31 ya NATO pale ukraine!
NB: Kuna uwezekano hifadhi ya silaha ya NATO imeanza kusisha sasa wanatafuta mlango wa kutokea.
na kwann aachilie eneo lake kwann Urusi asiachilie Rostov hlf kubali kukaa mezanMuda utaongea. Kila upande upo tayari kwa mazungumzo, kikwazo ni masharti ya kila upande, na masharti hayo ni muhimu kwa kila upande ndio maana vita inaendelea mpaka sasa.
Ukrain anataka arudishe maeneo yake yote ndio aingie kwenye meza ya mazungumzo, wakati Urus anataka kuingia kwenye mazungumzo akiwa ameyashikilia maeneo ya Urus hasa Donbass.
Tafsiri yake ni kwamba, vita vitaendelea kupiganwa la sivyo Ukrain akubali kuachilia Donbass iende kwa Urus.
sizan kama hii vita inahusu ushogaViva urusi piga mashoga