Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,351
Kwa masikitiko makubwa sana napenda kumpa pole mwanaJF mwenzetu Damie kwa kufiwa na baba yake mzazi. Najua upo katika wakati mgumu lakini Mungu akupe ujasiri katika kipindi hiki kigumu.
Najua utakuwa upo katika harakati za kujiandaa kwenda nyumbani kwa ajili ya mazishi, Mungu akutangulie ufike salama.
Pole sana Damie.
Inallilaah wainarajiun,
Bwana ametoa na Bwana Ametwaa, jina lake libarikiwe.
Najua utakuwa upo katika harakati za kujiandaa kwenda nyumbani kwa ajili ya mazishi, Mungu akutangulie ufike salama.
Pole sana Damie.
Inallilaah wainarajiun,
Bwana ametoa na Bwana Ametwaa, jina lake libarikiwe.