....POLE DIDA najuha Unavyojisikia NOW

Kwa michezo hayo mambo ya kawaida kwa mwakilishi wa nchi kupoteza mechi za nyumbani

Ismailia kwao inshika mkia ila ni miongozi mwa waliotinga 16 bora
Itazame almasr alahly zote ligi ya kwao zinasuasua
Ila kimataifa ni moyo
 
Kwa michezo hayo mambo ya kawaida kwa mwakilishi wa nchi kupoteza mechi za nyumbani

Ismailia kwao inshika mkia ila ni miongozi mwa waliotinga 16 bora
Itazame almasr alahly zote ligi ya kwao zinasuasua
Ila kimataifa ni moyo
Inawezekana zmefuzu tm mbovu sana mwaka huu kwenye kilab bingwa.
Kwa mfano Simba, kat ya tm 32 bora Tz bara, Simba haipo, ila wapo MASHUJAA!
 
Mwenzie Nduda kakimbia benchi tayari, ajitahidi sana kufanya maombi maana kijana yule ya Moro sio wa mchezo mchezo!! Kuchukua namba kwake uwe umejipanga kikamilifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…