Pole FL1...

Poleni kwa msiba huu! Mungu awape nguvu.
 
Pole mlofiliwa na kipenzi chenu.
Mungu alitoa na sasa ametwaa.
Muwe na moyo wa ufumilivu wafiwa.
Tumwombe MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU.
 
Pole sana FL1. Bwana atutiaye nguvu atakupa uvumilivu katika wakati huu mgumu.
R.I.P ndugu yetu aliyetutoka.
 
Pole sana FL1 kwa kupotelewa mpendwa wako,tuko pamoja katika sala za kukutia moyo katika hili!!
 
Pole dadangu..
Mungu awape amani na faaraja wakti huu wa msiba!
 
Pole sana festiledi1;

Mungu akupe faraja kwa wakati huu mgumu kwako!
 
Mungu awape moyo wa subira katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpedwa wao katika maisha haya. Ameni
 
wapenzi nawashukuruni wote nawapenda wote ..mungu awabariki sana kwa moyo wa upendo na huruma yenu kwangu ilikuwa ngumu kwangu kwani ndani ya week hiyo ya msiba nilikuwa na harusi pia ya mdogo wangu..
Lakini mungu katujalia na kutusimamia mambo yote yameisha salama kabisa
Mbarikiwe katika neno hili....

1Yohana 3:13-16 yasema, " Ndugu zangu,msitsaajabu, ulimwengu ukiwachukia sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mautini kuingia uzimani, kwa maana twawapenda ndugu. Yeye asiyependa akaa katika mauti. Kila amchukiaye ndugu yake ni mwuaji, nanyi mnajua ya kuwa kila mwuaji hana uzima wa milele ukikaa ndani yake. Katika hili tumelifahamu pendo, kwakuwa yeye aliutoa uhai wake kwa ajili yetu, imetupasa na sisi kuutoa uhai wetu kwa ajili ya hao ndugu." Tunapo zungumzia juu ya wale walio waaminifu, tunaona ya kwamba yule aliyemwaminifu yuko tayari kupeana maisha yake kwa ajili ya ndugu (Warum 16:4). Kwa ajili ya watakatifu, tunahitaji pia kutoa maisha yetu kwa ajili yao. Paulo anasema kwamba, kwasababu ya upendo kwa ndugu zake katika mwili, wayaudi, alipendelea kulaaniwa

FL1
 
ilikuwa ngumu kwangu kwani ndani ya week hiyo ya msiba nilikuwa na harusi pia ya mdogo wangu..
Huh, and you went silent on it!
Currently we have over 26 members based in Mwanza...something tasty could have been done...something of difference!
 
Huh, and you went silent on it!
Currently we have over 26 members based in Mwanza...something tasty could have been done...something of difference!

Sikuwa na mawazo hayo yote PJ lakini namshukuru mungu kwa kila kitu ...hao members wengine na imani iko siku tutaonana...nadhani itakuwa nzuri zaidi
 
pole mpz Mungu akupe uvumilivu sana,utayaweza yote ktk yy akutiae nguvu.
 
Pole sana Mungu akutie nguvukatika kipindi hiki kigumu cha majonzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…