Mzee hakuwa anakula mikuyati ili kumridhisha yule binti kweli ?
Nina mashaka na hilo?
Mkuu serikali yetu tunaomba isilale kabisa mpaka ukweli umejulikana. Na unapomfanyia mabaya innocent man like Mzee Mengi ni lazima ita back fire immediately.
Wachaga wa wapi hao wanaoua waume zao kisa pesa ?Umaskini na wivu ni sumu mbaya sana tuliyonayo watanzania,,,
wachaga kutokana na tabia yao mbaya ya kuua waume zao wanahisi na wanawake wa jamii nyinginezo tuko hivyo
Mungu amtie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Wachaga wa wapi hao wanaoua waume zao kisa pesa ?
Wachaga wa wapi hao wanaoua waume zao kisa pesa ?
Kama ni kweli mbona wapo wanawake wa kichaga walioolewa na wanaume wenye kipato kidogo zaidiKila jamii inayo sifa nzuri na mbaya mnapozungumzia sifa mbaya za wengine nanyi zenu zinajulikana na kuzungumzwa
Wanawake wa kichaga wanajulikana tabia yao ya kuua waume zao ili wapate mali
Kwenye point umejisema mwenyewe. Maana umejumuisha tabia ya wachaga wawili au mmoja kama tabia ya wachaga wote.Hulka yoyote unaweza kuikuta kwa mtu wa kabila lolote,,, tatizo watanzania ni wanafiki sana akifanya mmoja wanajumuishwa jamii nzima anapotokea
Ni hearsay kwamba wachaga wa machame wanafanya hivyo. Wewe binafsi umewahi kuthibitisha ?Kwani hujui wanapatikana wapi?
Nimefanya makusudi kabisa kujibu hivyo!!!Kwenye point umejisema mwenyewe. Maana umejumuisha tabia ya wachaga wawili au mmoja kama tabia ya wachaga wote.
Wacha porojo wewe tafuta pesa zako nawewe uje uzungumzwe ukifa, unajificha kwenye pesa za kidume mwenzio? oooh tuko imara blah blah sijui jamii tafuta mkwanja wako hayo majungu achia wanawake mbaafWatusi mnaangaika sana.
"Watoto zake" ni moja ya kiashiria kwamba mtoa mada ni Myarwanda.
Naona anatetea Mtusi mwenzake.
Wachagga Siku zote Tupo macho.
Hatuwezi kuacha jambo lipite hivihivi wakati kuna mazingira na kelele za ajabu.
Chagga ni Taifa, ni damu, ni jamii imara.
Semeni sana, ila ukweli utajulikana tu.
Wacha porojo wewe tafuta pesa zako nawewe uje uzungumzwe ukifa, unajificha kwenye pesa za kidume mwenzio? oooh tuko imara blah blah sijui jamii tafuta mkwanja wako hayo majungu achia wanawake mbaaf
Wacha porojo wewe tafuta pesa zako nawewe uje uzungumzwe ukifa, unajificha kwenye pesa za kidume mwenzio? oooh tuko imara blah blah sijui jamii tafuta mkwanja wako hayo majungu achia wanawake mbaaf
Sawa mremboNimefanya makusudi kabisa kujibu hivyo!!!
Nimekusoma
Povu halikusaidii kyasaka.
Pesa natafuta maana ni jadi yangu, ni jadi yetu, na hilo mnalijua.
Lazima ukweli uwekwe bayana. Msitutoe kwenye mstari na povu zenu kama vipi mkafulie.
Kama mamlaka zitasema hakuna shida, basi, na iwe hivyo, ila kama kuna shida bas wazimalize kihalali.
Kimila pia zitamalizwa, na maisha yasonge!
Unasikia we kyasaka?
Povu halikusaidii kyasaka.
Pesa natafuta maana ni jadi yangu, ni jadi yetu, na hilo mnalijua.
Lazima ukweli uwekwe bayana. Msitutoe kwenye mstari na povu zenu kama vipi mkafulie.
Kama mamlaka zitasema hakuna shida, basi, na iwe hivyo, ila kama kuna shida bas wazimalize kihalali.
Kimila pia zitamalizwa, na maisha yasonge!
Unasikia we kyasaka?
Wewe siyo mwanafamilia, acha wenyewe waje watuambie ukweli kuhusu kifo cha mzee wetu mpendwaYaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan
Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa baba wa watoto zake kama angefanya hivyo hiyo dhamb ingemsuta maisha yake yote.angeiweka wap sura yake anapokuwa na watoto zake.Acheni uzushi
Binafs bado nilikuwa nayaona mapenzi ya dhati ya jack kwa mzee mengi hata kama angefilisika naamin angeendele kumpenda kwa dhati
Binadamu tusipende kuzua mambo tusiokuwa na hakika nayo. Fitina ni jambo baya sana haswa katika mahusiano ya watu.watu weng walikuwa wanamuonea husda jack kupendwa na mengi na baada ya kutokea hiki kifo wanataka kuzidhihirisha kwa waz husda zao zilizokuwa zimejificha
Justice will prevail
Be strongView attachment 1088944
Kama ni kweli mbona wapo wanawake wa kichaga walioolewa na wanaume wenye kipato kidogo zaidi