Wewe mjinga nini! unaleta uchawi kwenye koo ya watu matajiri? nani alikwambia wanafanya mambo hayo? Wewe ndio yule jamaa pastor Mboro? mbaaf
Wewe siyo mwanafamilia, acha wenyewe waje watuambie ukweli kuhusu kifo cha mzee wetu mpendwa
Sasa kuna watu ambao hawatafuti pesa dunia hii wewe kijana mjinga?! Ukoo wa Mengi haumo, kwao hawakujui sasa kimekuuma nini? Pesa ni zake marehemu, mke alikua wake wewe umeumia kwa kipi maza fanta? Unaleta ukabila kwenye pesa za mtu asiye kujua? Nyinyi ndio hua mnaliwa jicho, mwanaume pambania upate zako mbaaaf
Wapi nimetaja uchawi?
Mimi nimetaja mila na siyo uchawi.
Uchawi wanashadadia watu masikini vyasaka.
Uchawi hauna tija!
Mimi ni Mboro ndiyo unataka nini?
Kwa hiyo unatakaje labda???Unaingiza uchagga kwenye pesa za mtu baki? Anayo familia yake anao ndugu zake hao ndio watashughulika na mambo yake marehemu. Wewe pambania kombe lako nawewe uje kua stori ya town ukifa acha kua kiherehere kwenye familia za watu utakuja kutolewa msukule watu waendeshe ndinga kali mjini.
Ukweli utasimama.
Vyasaka mnataka kukinasua kwa kuleta ukabila.
Hatukubali Wachagga kutukanwa.
Kwanza siwezi kukubali.
Wewe toa povu tu maana umasikini wa kipato unakusumbua.
Mnashindwa hata kuweka genge mtaani ni mpaka Mangi awwawekee.
Ni kipi mnacho cha kujivunia vyasaka?
Inahuzunisha afu mtu haya mambo yasikie tu kwa mwezio yasikukuteManeno kama hayo yanayosambaa kama huna moyo wa chuma yanaumiza sana, inatakiwa uwe fedhuli wa roho mbaya kuweza kuyahimili, sijui Dada Jacky yupo kwenye hali gani kwa sasa, Mungu amzidishie kuwatia moyo wafiwa, time will tell
Hahahhaha kwahiyo Tz nzima magenge yote ya mangi? kijana mimi kama kaka yako nakushauri acha kuingilia mambo ya familia za watu utakuja kujuta siku moja mzee, pambana huko fuga mbuzi, fuga ngurue achana na mambo ya tajiri Mengi hakujui kabisa wacha kujichomeka kwa kivuli ya kabila.
Kwa hiyo unatakaje labda???
Mtukane mtuseme hovyo halafu tunyamaze?
Lazima niwajibu.
Ni wajibu wangu kuwajibu vishoia kama ninyi.
Inahuzunisha afu mtu haya mambo yasikie tu kwa mwezio yasikukute
Umesemwa wewe? wewe ni dume toleo la ngapi? eti ooh kimila sijui jamii, hiyo kichwa imejaa makande nn yani kifo cha asiye kujua kinakuuma kuliko ndugu kwa sababu alikua na pesa? umelogwa wewe mbaaf
Sijakuambia ninataka pesa za marehemu.
Ninachokijibu hapa ni hoja zenu za kulitusi kabila la Kichagga.
Pesa hata Mimi ninazo, tofauti ni kwamba hazigikii za marehemu.
Kwa hiyo, ukiniuliza pesa za Mengi Mimi nitakuambia nenda nyumban kwake kuna majibu huko.
Ila kuhusu jamii yetu Tukufu ya Kichagga, Mimi nina majibu zaidi ya milioni.
Mimi ni Mchagga original, na ukilisema Kabila la Kichagga vibaya ni lazima nikupe majibu sahihi.
Pesa ninatafuta, kaa na ufukara wako maana kwa maneno yako uanaonekana una dhiki sana.
ni kweli Mungu amsimamie anapitia kipind kigumu sanaUmaskini na wivu ni sumu mbaya sana tuliyonayo watanzania,,,
wachaga kutokana na tabia yao mbaya ya kuua waume zao wanahisi na wanawake wa jamii nyinginezo tuko hivyo
Mungu amtie nguvu katika kipindi hiki kigumu
ni kweli kabisa Mungu asingetupa usahaulifu dunian ingekuwa uwanja wa fujoKuna mambo madogo madogo tu huku uraiani au sehemu za kazi ukisikia yanaongelewa kuhusu wewe na ikiwa ni uongo huwa yanaumiza sana, sasa kwa makubwa kama hayo ya Jacky je, sema Mungu ametupa binadamu usahaulifu hata hao wanaosambaza nao watasahau