Huwa napata wakati mgumu pale napotakiwa kumpa pole mfiwa yani huwa naishiwa maneno ya kuongea,sana sana mtamwambia pole na Mungu ampe faraja,ni kawaida?kuna ambao wako kama mimi?
Huwa napata wakati mgumu pale napotakiwa kumpa pole mfiwa yani huwa naishiwa maneno ya kuongea,sana sana mtamwambia pole na Mungu ampe faraja,ni kawaida?