Tatizo la TID ni unga na bangi ndizo zinamsumbua....huenda asiwe na mbilimbi ila nguvu za kudu hana kwani zile kemikali zikikuingia kwenye hisia hata kimbilimbi kinageuka kuwa pilipili kichaa kwani hakuna hisia tena pale. Unajihisi unapiga demu pumbu wakati mwenzio anasinzia kutafuta hisia lakini wapi, anakuonea huruma tu. Utajitahidi mpaka kijasho cha mkundu kitoke hollaaaaa, matokeo yake ndiyo haya mtu anakuja kwenye TV ama redioni na kujisifia oh, nimepiga demu fulani na kuwacha hoi wakati demu mpaka leo yuko na mchungu ya kumuharibia maisha yake. Mwache Wema aseme ya moyoni. Hivi vijamaa vya bongo fleva hivi, vina issues kweli.