Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mtani....Sheria ni msumeno hukata pande yeyoteNimeskia ya kwamba ndege yenu iliyokuwa imeenda SA imekamatwa. Naona hawa watu ambao nyie hudai kuwa mliwakomboa hawana shukrani. Poleni sana kwa hili
Hujaalikwa msibani, kaeni muomboleze ya kwenu. Kwani msiba wa Bandari kuchukuliwa na Wachina mmeanua matanga?Nimeskia ya kwamba ndege yenu iliyokuwa imeenda SA imekamatwa. Naona hawa watu ambao nyie hudai kuwa mliwakomboa hawana shukrani. Poleni sana kwa hili
SA wanatumiwa na MABEBERU si bure.Nimeskia ya kwamba ndege yenu iliyokuwa imeenda SA imekamatwa. Naona hawa watu ambao nyie hudai kuwa mliwakomboa hawana shukrani. Poleni sana kwa hili
Kwani hamdaiwi wanawasingizia?Asante sana, Tanzania kuna ma-snitches ambao wanapigana kusabotage nchi yetu, sleeping with the enemy basically.
Lipeni madeni ya watu nyie msisingizie masinichi wala wasaliti kwa KUTREPU simu.....Hela za kununua madiwani/wabunge na kujenga burigi,chattle aeapoti mnazo ila kulipa madeni hamna.Asante sana, Tanzania kuna ma-snitches ambao wanapigana kusabotage nchi yetu, sleeping with the enemy basically.
Pole kwa mwenyekiti wa SADC,
Walisahau kuwapeleka viongozi wa SADC Bugiri ChatoLipeni madeni ya watu nyie msisingizie masinichi wana wasaliti ka KUTREPU simu.....Hela za kununua madiwani na kujenga burigi,chattle aeapoti mnazo ila kulipa madeni hamna.
Hujaalikwa msibani, kaeni muomboleze ya kwenu. Kwani msiba wa Bandari kuchukuliwa na Wachina mmeanua matanga?
Kwani hamdaiwi wanawasingizia?
Hahahahaa Tutawakumbusha inaonekana walisahau mambo yalikuwa mengi 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Walisahau kuwapeleka viongozi wa SADC Bugiri Chato
Tatueni matatizo ili masnich wakose pa kuwashikaSijui, ila ninachojua kuna snitches ambao wanapigana usiku na mchana kutushika mashati tusiende mbele, wengine wameshalaaniwa na Mungu wanaishi kwa maumivu maisha yao yote na bado.
Tatueni matatizo ili masnich wakose pa kuwashika
Hahahahahaa nimevua SINGILENDI yangu natembea KIFUA MBEREEEE....TUPO VIZURI sana Uchumi unapaa kwa kasi ya BOMBADYEEEEE KYU FO HANDIRED.Tutembee virus mbele ndege zimenunuliwa cash kumbe SAA anatudai